sitta kisandu
New Member
- Jan 3, 2021
- 1
- 0
yaani bora niwe maskini tu sio kuwafuga hao viumbeNife tu na umasikini wangu.....π³π³
π π π πKuna siku wife alikaa vibaya nyoka akaingia kwenye papuchi yake daaaa,
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nife tu na umasikini wangu.....π³π³
Ndio minyoo huwapata, hata cancer nishawahi ona mmoja mtandaoni, ilibidi awe euthanized na madaktari wa wanyama sababu ilikuwa ishafika stage ambayo hawangeweza kumuokoa, wakampa sindano akafa kiulaini. Bonge la cobra mkuuPale mikumi kuna snake park wanafuga aina tofauti tofauti ya nyoka nao pia uumwa kama wanyama wengine sana sana minyoo
hahahahahahahahahahahaBora kisigino utafunga kuzuia sumu.....tako je!