Fahamu hekima za Rais Mstaafu Mzee Ali Hassan Mwinyi

Fahamu hekima za Rais Mstaafu Mzee Ali Hassan Mwinyi

KANYEGELO

JF-Expert Member
Joined
Nov 12, 2019
Posts
2,238
Reaction score
4,885
Kuna somo muhimu sana hapa:

ALLY HASSAN MWINYI, BABA WA HEKIMA!

mwinyi.jpg

Alipojiuzulu uwaziri wa mambo ya ndani ya nchi mwaka 1983 (kama sijakosea) nafasi yake aliteuliwa mzee mmoja kutoka Zanzibar anaitwa Mzee Natepe kushika uwaziri wa mambo ya ndani ya nchi.

Natepe alipoingia tu ofisini alimtaka waziri aliemtangulia kutoka katika nyumba ya waziri ili yeye aweze kukaa hapo kama waziri.

Ilikuwa shida kidogo maana Waziri alieondoka bado alikuwa anatafuta makazi lakini alitakiwa haraka kutoka na Natepe.

Ikampasa Mzee Mwinyi kutoka kwa haraka na siku anatoka pale nyumbani alikuwa amenunua mabati 150 na mifuko ya saruji 100 ya kwake, wala siyo mali ya Serikali.

Natepe alimkatalia kuvichukua akidai ni mali ya serikali; kweli Mzee Mwinyi akaviacha, akaondoka.

Baada ya miezi kadhaa tu Mzee Mwinyi akateuliwa kuwa Rais Zanzibar Natepe wakati anajifikiria jinsi ya kwenda kumpongeza na kumuomba radhi kwa aliyomfanyia, kabla ya kufikiria njia Mzee Mwinyi akaletwa bara mwaka 1985 kama Rais wa JMT.

Hapa sasa Natepe akajua kazi hana na atatimuliwa haraka iwezekanavyo tena na kutengwa na nyadhifa za JMT kwakuwa kuna mabaya ya wazi na ya sirini aliyomtendea Mzee Mwinyi.

Mzee Mwinyi baada tu ya kuapishwa kuwa Rais wa JMT wakati anateua Baraza la Mawaziri, akamteua tena Natepe kuwa waziri pale pale mambo ya ndani.

Siku ya kumuapisha akamwambia Natepe, siyo kwamba nakupenda sana, hapana, ila napenda kazi yako unavyofanya. Endelea kufanya kazi.

Siku moja Mzee Mwinyi yupo ikulu kapumzika, akaona malori yanaingia na akaambiwa mzigo wako huu Mh. Rais , akashtuka mbona sijaagiza kitu mie?

Ndipo akaambiwa umetoka kwa Natepe. Mzee Mwinyi akacheka sana akawaambia wasaidizi wake shusheni mabati 150 na saruji 100 hizo ndio haki yangu, zingine mrudishieni tu.

Hapa kuna masomo makubwa matatu. Vema viongozi wetu wa sasa wakajipambanua kwayo ili twende kwa weledi na umakini sana. Hata kwetu sisi wanadamu ni somo zuri sana la kujifunza.


Pia, soma:
 
Kuna somo muhimu sana hapa:

ALLY HASSAN MWINYI, BABA WA HEKIMA!

View attachment 1359190

Alipojiuzulu uwaziri wa mambo ya ndani ya nchi mwaka 1983 (kama sijakosea) nafasi yake aliteuliwa mzee mmoja kutoka Zanzibar anaitwa Mzee Natepe kushika uwaziri wa mambo ya ndani ya nchi.

Natepe alipoingia tu ofisini alimtaka waziri aliemtangulia kutoka katika nyumba ya waziri ili yeye aweze kukaa hapo kama waziri.

Ilikuwa shida kidogo maana Waziri alieondoka bado alikuwa anatafuta makazi lakini alitakiwa haraka kutoka na Natepe.

Ikampasa Mzee Mwinyi kutoka kwa haraka na siku anatoka pale nyumbani alikuwa amenunua mabati 150 na mifuko ya saruji 100 ya kwake, wala siyo mali ya Serikali.

Natepe alimkatalia kuvichukua akidai ni mali ya serikali; kweli Mzee Mwinyi akaviacha, akaondoka.

Baada ya miezi kadhaa tu Mzee Mwinyi akateuliwa kuwa Rais Zanzibar Natepe wakati anajifikiria jinsi ya kwenda kumpongeza na kumuomba radhi kwa aliyomfanyia, kabla ya kufikiria njia Mzee Mwinyi akaletwa bara mwaka 1985 kama Rais wa JMT.

Hapa sasa Natepe akajua kazi hana na atatimuliwa haraka iwezekanavyo tena na kutengwa na nyadhifa za JMT kwakuwa kuna mabaya ya wazi na ya sirini aliyomtendea Mzee Mwinyi.

Mzee Mwinyi baada tu ya kuapishwa kuwa Rais wa JMT wakati anateua Baraza la Mawaziri, akamteua tena Natepe kuwa waziri pale pale mambo ya ndani.

Siku ya kumuapisha akamwambia Natepe, siyo kwamba nakupenda sana, hapana, ila napenda kazi yako unavyofanya. Endelea kufanya kazi.

Siku moja Mzee Mwinyi yupo ikulu kapumzika, akaona malori yanaingia na akaambiwa mzigo wako huu Mh. Rais , akashtuka mbona sijaagiza kitu mie?

Ndipo akaambiwa umetoka kwa Natepe. Mzee Mwinyi akacheka sana akawaambia wasaidizi wake shusheni mabati 150 na saruji 100 hizo ndio haki yangu, zingine mrudishieni tu.

Hapa kuna masomo makubwa matatu. Vema viongozi wetu wa sasa wakajipambanua kwayo ili twende kwa weledi na umakini sana. Hata kwetu sisi wanadamu ni somo zuri sana la kujifunza.


Pia, soma:
Umekosea Mwinyi alijiuzulu uwaziri wa mambo ya ndani mwaka 1972 sio 1983
 
Kuna somo muhimu sana hapa:

ALLY HASSAN MWINYI, BABA WA HEKIMA!

View attachment 1359190

Alipojiuzulu uwaziri wa mambo ya ndani ya nchi mwaka 1983 (kama sijakosea) nafasi yake aliteuliwa mzee mmoja kutoka Zanzibar anaitwa Mzee Natepe kushika uwaziri wa mambo ya ndani ya nchi.

Natepe alipoingia tu ofisini alimtaka waziri aliemtangulia kutoka katika nyumba ya waziri ili yeye aweze kukaa hapo kama waziri.

Ilikuwa shida kidogo maana Waziri alieondoka bado alikuwa anatafuta makazi lakini alitakiwa haraka kutoka na Natepe.

Ikampasa Mzee Mwinyi kutoka kwa haraka na siku anatoka pale nyumbani alikuwa amenunua mabati 150 na mifuko ya saruji 100 ya kwake, wala siyo mali ya Serikali.

Natepe alimkatalia kuvichukua akidai ni mali ya serikali; kweli Mzee Mwinyi akaviacha, akaondoka.

Baada ya miezi kadhaa tu Mzee Mwinyi akateuliwa kuwa Rais Zanzibar Natepe wakati anajifikiria jinsi ya kwenda kumpongeza na kumuomba radhi kwa aliyomfanyia, kabla ya kufikiria njia Mzee Mwinyi akaletwa bara mwaka 1985 kama Rais wa JMT.

Hapa sasa Natepe akajua kazi hana na atatimuliwa haraka iwezekanavyo tena na kutengwa na nyadhifa za JMT kwakuwa kuna mabaya ya wazi na ya sirini aliyomtendea Mzee Mwinyi.

Mzee Mwinyi baada tu ya kuapishwa kuwa Rais wa JMT wakati anateua Baraza la Mawaziri, akamteua tena Natepe kuwa waziri pale pale mambo ya ndani.

Siku ya kumuapisha akamwambia Natepe, siyo kwamba nakupenda sana, hapana, ila napenda kazi yako unavyofanya. Endelea kufanya kazi.

Siku moja Mzee Mwinyi yupo ikulu kapumzika, akaona malori yanaingia na akaambiwa mzigo wako huu Mh. Rais , akashtuka mbona sijaagiza kitu mie?

Ndipo akaambiwa umetoka kwa Natepe. Mzee Mwinyi akacheka sana akawaambia wasaidizi wake shusheni mabati 150 na saruji 100 hizo ndio haki yangu, zingine mrudishieni tu.

Hapa kuna masomo makubwa matatu. Vema viongozi wetu wa sasa wakajipambanua kwayo ili twende kwa weledi na umakini sana. Hata kwetu sisi wanadamu ni somo zuri sana la kujifunza.


Pia, soma:
hapa mzee alimwambia kisanii sana eti''kwamba sio kuwa nakupenda ila napenda kazi zako' '
 
Back
Top Bottom