Ogaaah! Duuuh hii ni noma mkuuWazungu walituokoa na mengj pia.
Halafu nakumbuka na utamaduni fulani wa china wa zamani wa kuvunja viganja vya miguu vya watoto wa kike na kuifunga kwa nguo ili viganja vibakie vya kitoto japo iliwapa vibinti maumivu makubwa ilikuwa eti ndio urembo uliofanya binti aweze kuolewa ama kuwa official concubine wa mfalme ama wanae
Mkuu siungemsitiri ataUMETOA HII POST COPY &PESTE HUKO EATV FESIBUKU
. KWANI KUNA UBAYA GANI? HALI YA KWAMBA WASWAHILI WANASEMA KIZURI KULA NA NDUGUYO. NAMI NAIPELEKA HII SIMULIZI KULE WHATSAPP KWENYE MAGROUP YETUUMETOA HII POST COPY &PESTE HUKO EATV FESIBUKU
Ogaaah!