Fahamu jinsi ya kuhama kifurushi kwenye Azam TV

Fahamu jinsi ya kuhama kifurushi kwenye Azam TV

Joined
Aug 16, 2020
Posts
37
Reaction score
48
Vifurushi vilivyopo:
- Tsh 10,000 lite
- Tsh 18,000 pure
- Tsh 23,000 plus
- Tsh 28,000 play
Washa king'amuzi chako kisha ndipo ufanye malipo!
Ikiwa upo kifurushi kidogo hakijaisha mf: Tsh 10,000 na unataka kuongezea hela ili upate kifurushi kikubwa cha Tsh 18,000 LAZIMA iwe umelipia Tsh 10,000 ndani ya saa 72, mf: umelipia jana leo unataka kuhama, unaongeza Tsh 8,000 tu! kisha unabofya *150*50*5#
( Chagua lugha. )
1.Kiswahili
( Bonyeza namba 2 )
2.Badilisha kifurushi
( Weka namba ya card )
( Chagua kifurushi )
1. Pure
( Chagua namba 1 )
1. Badilisha sasa hivi
Utapokea ujumbe mfupi kuonyesha kama ombi lako limekubaliwa ama laa!
Ikiwa imepita saa 72 ni lazima ulipie pesa kamili ya kifurushi husika mf: unataka cha Tsh 18,000 unalipia Tsh 18,000 kisha unafata hizo hatua.

Ama itakulazimu kungoja mpaka kifurushi chako kitakapoisha! NB: Lipia ama hama kifurushi siku 1 ama mbili kabla ya mechi unayotaka kuangalia kuepuka usumbufu!

Technical issues- Whatsapp +255784378129
 
Vifurushi vilivyopo:
- Tsh 10,000 lite
- Tsh 18,000 pure
- Tsh 23,000 plus
- Tsh 28,000 play
Washa king'amuzi chako kisha ndipo ufanye malipo!
Ikiwa upo kifurushi kidogo hakijaisha mf: Tsh 10,000 na unataka kuongezea hela ili upate kifurushi kikubwa cha Tsh 18,000 LAZIMA iwe umelipia Tsh 10,000 ndani ya saa 72, mf: umelipia jana leo unataka kuhama, unaongeza Tsh 8,000 tu! kisha unabofya *150*50*5#
( Chagua lugha. )
1.Kiswahili
( Bonyeza namba 2 )
2.Badilisha kifurushi
( Weka namba ya card )
( Chagua kifurushi )
1. Pure
( Chagua namba 1 )
1. Badilisha sasa hivi
Utapokea ujumbe mfupi kuonyesha kama ombi lako limekubaliwa ama laa!
Ikiwa imepita saa 72 ni lazima ulipie pesa kamili ya kifurushi husika mf: unataka cha Tsh 18,000 unalipia Tsh 18,000 kisha unafata hizo hatua.

Ama itakulazimu kungoja mpaka kifurushi chako kitakapoisha! NB: Lipia ama hama kifurushi siku 1 ama mbili kabla ya mechi unayotaka kuangalia kuepuka usumbufu!

Technical issues- Whatsapp +255784378129
Hivi kuna hasara yoyote ukijikuta umelipa kabla kifurushi cha awali hakijaisha muda?
 
Nimenunua kifurushi cha Azam pure kisha nikaongeza elfu kumi kwenda azam TV ili nipate azam plus lakini sijapata channeli hizo nifanyeje
Vifurushi vilivyopo:
  • Tsh 10,000 lite
  • Tsh 18,000 pure
  • Tsh 23,000 plus
  • Tsh 28,000 play
Washa king'amuzi chako kisha ndipo ufanye malipo!
Ikiwa upo kifurushi kidogo hakijaisha mf: Tsh 10,000 na unataka kuongezea hela ili upate kifurushi kikubwa cha Tsh 18,000 LAZIMA iwe umelipia Tsh 10,000 ndani ya saa 72, mf: umelipia jana leo unataka kuhama, unaongeza Tsh 8,000 tu! kisha unabofya *150*50*5#
( Chagua lugha. )
1.Kiswahili
( Bonyeza namba 2 )
2.Badilisha kifurushi
( Weka namba ya card )
( Chagua kifurushi )
1. Pure
( Chagua namba 1 )
1. Badilisha sasa hivi
Utapokea ujumbe mfupi kuonyesha kama ombi lako limekubaliwa ama laa!
Ikiwa imepita saa 72 ni lazima ulipie pesa kamili ya kifurushi husika mf: unataka cha Tsh 18,000 unalipia Tsh 18,000 kisha unafata hizo hatua.

Ama itakulazimu kungoja mpaka kifurushi chako kitakapoisha! NB: Lipia ama hama kifurushi siku 1 ama mbili kabla ya mechi unayotaka kuangalia kuepuka usumbufu!

Technical issues- Whatsapp +255784378129
Vi
 
Back
Top Bottom