FrankMakeps
Member
- Apr 1, 2013
- 96
- 81
Boss nmefuta mara kibao lakn bado inagomahii kesi ishakuwa solved kipindi kirefu sana. nenda local disk c kisha user ,public kisha public document kisha futa hiyo steam mara zote itakavyo inavyoleta huo ujumbe
Kwa taarifa yako marcedes benz huwa zinapendwa sana na wakenya sisi wabongo ni volvo na scaniaSijawahi kuona kijana anapost benz humu au ndo mmelogwa na scania na volvo kuanzia kwenye uhalisia mpaka kwenye game?
kuna mod yoyote umeiweka? hakikisha unaitoa
Drivers zipo updated? microsoft redistributable unazo? Net framework pia.., direct x...hebu install hivi vitu vyote ndo urun hyo game.. possible runtime environment kwako haziko sawa
hili nalo neno. kweli hapa napo inabidi azingatie kikubwa afanye update mfumo mzima .Drivers zipo updated? microsoft redistributable unazo? Net framework pia.., direct x...hebu install hivi vitu vyote ndo urun hyo game.. possible runtime environment kwako haziko sawa
Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
4gb ita struggle...ila unaweza zugia hadi ukipata hela utaongeza ifke hata 6Pc yangu ina ram 4gb hivi itafaa?
Hapa kama direct x kipengeleOG wakuu, iv hpa nafanyaje aiseView attachment 1627925
Tayar ilikuwepo ila bdo niki-instal inakuj vilevle chifHapa kama direct x kipengele
Install direct x kwanza kisha run installer again
Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
Mi nilinunua game kupitia steam ni dola kadhaa tu ila kama mfuko wako hauluhusu download.Nalipataje wakuu
inaonekana wazi kbsa kuna file halipo hapo.OG wakuu, iv hpa nafanyaje aiseView attachment 1627925
Hdd free ngapi? Ram nayo ngap?Tayar ilikuwepo ila bdo niki-instal inakuj vilevle chif
Dah bac litakua limecorruptinaonekana wazi kbsa kuna file halipo hapo.
kwa sasa ni dola 19 ila kipindi cha offer ni dola 4 so kama utahitaji naona offer ipo karibu kutokaNi dollar ngapi
kwani link uliitilewa wapi na ilikuwa ni version gani hiyoDah bac litakua limecorrupt
Kun mwan ali2ma hku nadhn n kcamp, version ni 1.38kwani link uliitilewa wapi na ilikuwa ni version gani hiyo