Wakujilipua
JF-Expert Member
- May 5, 2018
- 1,584
- 1,393
Nakutumia link ya kupakua mzigo Na ka video kafupi. jalibu .ikishindwa na hapo.Yan acha tu sijui nnfel wap
Nakubar mkuuNakutumia link ya kupakua mzigo Na ka video kafupi. jalibu .ikishindwa na hapo.
Tumsaidie mkuuMkuu hadi leo hujafanikiwa?
Tulia kma nusu saa hiv nifike home.kisha nifungue pcNakubar mkuu
Hiv map puno Peru inaoneka ni baraa sanaMkuu lile game la 1.35 la 2.8gb limeliwa kabisa na nilishafika 83% ya Map ya Puno Peru ingawa sijawahi wahisha mzigo popote, ni mieleka na ajali
sasa nadownload upya hili ulillotuwekea la 3.58gb
Vision 1.32.3s uiwekee 1.35... kweli hi ni haki?Mkuu mm natumia version 1.32.3s nimeinstall peru mapa lakini kila nikijaribu kucheza game linafika seheme kwenye kuload lina stop na kuclose programView attachment 1258222
Mkuu hivi siwez tumia IDM kudowload au ndo mpaka nipakue torrentMkuu lile game la 1.35 la 2.8gb limeliwa kabisa na nilishafika 83% ya Map ya Puno Peru ingawa sijawahi wahisha mzigo popote, ni mieleka na ajali
sasa nadownload upya hili ulillotuwekea la 3.58gb
Nna usingiz hapa nashindwa hata kudownload Euro truck dah[emoji16]
naona kuna tatizo, hata mm nimejaribu hilo la kwanza lenye 3.58gb likagoma nikarudia lile la kwanza limemaliza slama lakini kufunguka limegoma ni error tupuNaombeni link asee nmejaribu mda mrefu leo tena nmepata error mpya .....isdone.dll error "unarc.dll returned an error code....hii ni 1.35.1.50s
Hii Map ya Puno Peru ni kiboko, niliiwekea Injini Gearbox na pesa nikawa juu lknHiv map puno Peru inaoneka ni baraa sana
Hahaha!!!!! ulifunga engine kubwa yenye hp 10000Hii Map ya Puno Peru ni kiboko, niliiwekea Injini Gearbox na pesa nikawa juu lkn
kuna sehemu kuna theluji, Lori inateleza mpaka muda unaisha sijui wenzangu huwa wanabadili tairi?
kuna sehemu kuna mawe ya ncha kali gari haitembei lazima utaomba kwenda Gereji muda utaisha sijui kuna mahali pa kubadili suspension maana lori halitulii
kuna kona za ajabu lazima utagonga tu
kweli hakuna zaidi ya Puno Peru, labda wajuzi waseme wanatembeaje juu ya theluji maana napitwa km nimesimama
Mkuu uliipata?Nakubar mkuu
Tena ni OPEN-PIPE inanguruma km mnyama, na gearbox la bei ghali, mbona hicho kichwa/tractor kilikuwa kinaruka hewani km swala? nikivuta tela basi ni mweleka na kuchelewa kufika, pesa yenyewe nilikopa Bank, si wakaninyang/anya mbichwa wao, nikaanza chini taratibu, tena nachagua barabara zisizo na milima, km kule Puno nikavuta mkwanja upya na kujiongezea % ktk kutalii ramaniHahaha!!!!! ulifunga engine kubwa yenye hp 10000
naona kuna tatizo, hata mm nimejaribu hilo la kwanza lenye 3.58gb likagoma nikarudia lile la kwanza limemaliza slama lakini kufunguka limegoma ni error tupu
labda natakiwa nitoe kila File la Simulator 2 ndani ya computer
kwa hiyo Link zote zimegoma
View attachment 1259124
yote ulituwekea Mkuu kcampLa kwanza link umetoa wap?
na la pili ndio hili limegoma post 726Fitgirl sjaona..mim natumia Codex
likiwa na CODEX siwezi bora rar na nimeanza upya kuDowload nakomaa nalo hilo la 2.9Gb limekubali baada game za kamari kukaa pembeni
yote ulituwekea Mkuu kcamp
moja la awali lipo post ya 510 lina 2,90Gb
na la pili ndio hili limegoma post 726
likiwa na CODEX siwezi bora rar na nimeanza upya kuDowload nakomaa nalo hilo la 2.9Gb limekubali baada game za kamari kukaa pembeni