hapa kuanzia sandia,untuca mpaka sina kote ni theruji tupu.na ni milima mirefu mno bila kuwa na engine kubwa hupandi ng'o
halafu hiyo theluji mnaikataje? yaani mm Volvo inateleza tu,natafuta ile post ya Rims naweza kuta kuna tyre za kashata labda, maana nimenunua injini ya mwisho kabisa, Lori inapaa ikifika kwenye theluji inachapwa km imesimama
Kwa sasa nimechukua kazi ya kusafirisha greda kubwa nimelitoa SINA linatakiwa masaa 45 lifike YANAHUAYA huko ndiko zile corrugation najua nitatumia stiffness suspension
ingelikuwa ni wewe hapa je ungepita {hapa kuna kona kumi na nne} na zote ni za aina moja
daah hiyo sehem bila utaalam yaani haupiti kabisaaisee nilipita hapo na trailer ndefu nilipata shida sana sita rudi tena ule mji!!
mimi nilipita hapo na scania bus likiwa na abilia wa tani 3. nilihangaika kidogo. ila soon nitajalibu kupita na treila la tani 21 cjui nitaipanda hiyo milima🙄🙄🙄🙄
wewe achana na hili bus .huwezi amini nilipita hapo bila damage lakini nilipoteza mda sana. lakini mission sikuchelewa kama hauamini pakua hili hapahttps://sharemods.com/9537z5zci44p/ets2_1.34_scania_touring.rar.htmlView attachment 1263929
Jamani hayo mabasi mnayanunua wapi? nawaombeni hata moja
hizo kona ukigota kwenye kona ya kulia piga reverse kwenda kushoto, hapo utatoka kwani zile tairi ya nyuma zinakuwa km daraja moja ikitumbukia kwenye shimo nyingine zinainyanyua, lkn Damage ni lazima (labda uitoe) pia muda unapotea sana
we tuma 2 mkuu maana kuna watu bado tunahangaika na hizi set upNinayo set up ya eurotruck simulator GB 4.412 uhakika ntatuma link soon
Download Euro Truck Simulator 2 - V1.35.1.30S [x64/x86] (+All DLCs) - Repack By Symetryczny Torrent | 1337x ndugu noah de voxser tumia link hii kupakua mzigo. ila hakikisha una U TORRENT.ukishamaliza kupakua.
hakikisha unafunga ant virus. before huja install
Wewe mkali bado hiyo Scania 730e ina horsepower 730 hujaiongezea injini na gearbox kubwa?s 730 tani 22 kwenye theruji mambo ni mswano
huku ni wapi...?s 730 tani 22 kwenye theruji mambo ni mswano
nilipofika hapo nilinyanyua taili za kat ngoma ikapanda kama kawaWewe mkali bado hiyo Scania 730e ina horsepower 730 hujaiongezea injini na gearbox kubwa?
mm naweka mpaka engine ya 3400hp haipandi inateleza na theluji natafta hela nikaweke engine ya nwisho kabisa 10000hp
Hapo pananisumbua sana
hapo ni untuca kwenda sandiahuku ni wapi...?
muungulumo wa open paip huwa siupendi ndo maana natumia ya engine ya kawaidaWewe mkali bado hiyo Scania 730e ina horsepower 730 hujaiongezea injini na gearbox kubwa?
mm naweka mpaka engine ya 3400hp haipandi inateleza na theluji natafta hela nikaweke engine ya nwisho kabisa 10000hp
Hapo pananisumbua sana
nilipofika hapo nilinyanyua taili za kat ngoma ikapanda kama kawa
usisa hau kwenda masiapo hadi saluni nako ni nouma sanaView attachment 1264612
kumbe mm nilijua ni double Diff (axel) kumbe moja ni diff, sasa nguvu si inapungua hapo mbele
ok ni point ngoja nikaitumie
Hii sehemu naikumbuka kuna crane linapakia miti ya milingoti hapo, barabara ina mawe hasa inabidi ulegeze suspension nilichelewa kidogo.usisa hau kwenda masiapo hadi saluni nako ni nouma sana