mkuu safi sana salute
Hiv hawaja add mji kwel? Mana sjaipakua badoAise Peru Ni noumaaaaaaaa
K,K
Mkuu ukitaka screen shot unapigajepicha please
F10Mkuu ukitaka screen shot unapigaje
Na unazikuta wap
K,K
Hivi hizi zinakuwa na abiria au vipi .... Maana last time niliweka mod ya basi lkn nikawa nazunguka tu bila mishe yyteHino bus
Ukitaka kuafaid bus..tafuta bus za india au Indonesia ..hizi chuma balaaView attachment 1403398View attachment 1403399View attachment 1403400View attachment 1403401
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii nilikua napiga misele tuHivi hizi zinakuwa na abiria au vipi .... Maana last time niliweka mod ya basi lkn nikawa nazunguka tu bila mishe yyte
"utamu wa uji ni kutingisha bakuli"
Kweny simu huwez...hizi ni mods na ets2 ya pcKwenye cm vp mazee,hzo mod hauwez kuziapply kwenye cm,maana sometime ungependa kucheza kwenye cm popote c lazima kubebelea laptop kila sehemuView attachment 1405032View attachment 1405033View attachment 1405035
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa wakt unadownload mkuu hukupata shida ya network? Mana hapo inaonekana kama archive imecorrupt,,hebu jarbu kutumia 7zip badala ya WinRAR ku extract