Fahamu jinsi ya kupata unit feki za umeme (token) bila malipo

Kiparuanda

JF-Expert Member
Joined
Jul 23, 2013
Posts
1,587
Reaction score
2,389
Ndugu mtanzania mwenzangu, najua unapenda sana vitu vya dezo, ila katika utawala huu itakubidi tu ulipie umeme kadri unavyoutumia. Watanzania tufanye khaazi (in John's voice)
 
Ndugu mtanzania mwenzangu, najua unapenda sana vitu vya dezo, ila katika utawala huu itakubidi tu ulipie umeme kadri unavyoutumia. Watanzania tufanye khaazi (in John's voice)
Wewe ni kiazi kweli Kama baba j.
 
Jamani kama kuna mdau anamfahamu amfunge kamba amuwahishe mirembe. Maana hiyo hali imekua mbaya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…