A Biology Laboratory
Member
- Feb 18, 2015
- 58
- 14
Mhh, mtafute yule mwalimu wa kibasila, atakulekezaa.. (kidding) Huu Uzi ungeupeleka jukwaa la wajasiriamali usingekosa jibu...
Ndugu Wanajamii Na Thani Wazma Wa Buheri. Naombeni Ni Fahamishwe Jinsi Ya Kutengeza Sabuni Ya Unga Na Ya Mche. Ni Matilio Gani Yanahitajika? Nawasilisha Kweinu Ndugu Wanajami I Kwa Elimu,maarifa Na Ufahamu. Ahsthanteni Nyote.