Nafaka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 12,154
- 31,246
Habari ya humu ndani.
Mimi siyo HR wala mtaalam sana wa mambo ya HR ila ninataka kutoa mtazamo wangu kutokana na uzoefu wangu.
Katika mitandao bora kabisa ambayo inaweza kubadili maisha yako ni Linkedin hasa kwa wanaotafuta kazi au hata wenye kazi ambao wanatafuta kazi ya ziada au kazi bora zaidi.
Lakini shida ni kwamba watu wengi wanaitumia Linkedin kama vile wanavyotumia Facebook kitu ambacho siyo sawa kabisa.
Kwa mfano, mtu amejiunga Linkedin toka mwaka 2015, hajawahi kuupdate profile yake kwa kuongeza new skills na experience, hajawahi kushow case kazi zake n.k.
Mtu connects zake ni za marafiki zake ambao unakuta wengi nao wanatafuta kazi au wana kazi za kuunga unga, ameconnect pia na watu mashuhuri tu wakina Bilgates, Warren Buffet, Elon Musk n.k. Siyo vibaya kuconnect na marafiki zako lakini Linkedin siyo sehemu ya kupiga umbea na story na marafiki. Siyo vibaya kuwafollow wakina Bilgates, lakini mara nyingi huwezi kupata ajira kutoka kwao.
Jambo la msingi, ni kuconnect na maHr na makampuni, na watu ambao wako kwenye field/eneo ambalo linaendana na kazi unayotafuta. Yani uwe una circle ya watu ambao wanafanya kile unachokifanya na umeconnect na mahr.
Pia ni vizuri kufollow makampuni maana itakuwa ni rahisi kujua kama wametangaza kazi na kujua ni kitu gani kinachoendelea katika makampuni hayo.
Haya ninayozungumza ni kutokana na experience yangu ya muda mfupi toka nimetumia huu mtandao na response ninayoipata. Pia kama unaweza hata kutengeneza kivideo ukakiweka kwenye profile siyo mbaya.
Dunia imebadilika, juzi nimemuona HR flani katangaza kazi Linkedin anasema hataki watu watume documents za CV anataka mtu ajireodi kwa simu yake na usitumie professional videographer, we jirekodi jieleze elimu yako na experience yako halafu mtumie.
Kwa leo ni hayo tu.
Mimi siyo HR wala mtaalam sana wa mambo ya HR ila ninataka kutoa mtazamo wangu kutokana na uzoefu wangu.
Katika mitandao bora kabisa ambayo inaweza kubadili maisha yako ni Linkedin hasa kwa wanaotafuta kazi au hata wenye kazi ambao wanatafuta kazi ya ziada au kazi bora zaidi.
Lakini shida ni kwamba watu wengi wanaitumia Linkedin kama vile wanavyotumia Facebook kitu ambacho siyo sawa kabisa.
Kwa mfano, mtu amejiunga Linkedin toka mwaka 2015, hajawahi kuupdate profile yake kwa kuongeza new skills na experience, hajawahi kushow case kazi zake n.k.
Mtu connects zake ni za marafiki zake ambao unakuta wengi nao wanatafuta kazi au wana kazi za kuunga unga, ameconnect pia na watu mashuhuri tu wakina Bilgates, Warren Buffet, Elon Musk n.k. Siyo vibaya kuconnect na marafiki zako lakini Linkedin siyo sehemu ya kupiga umbea na story na marafiki. Siyo vibaya kuwafollow wakina Bilgates, lakini mara nyingi huwezi kupata ajira kutoka kwao.
Jambo la msingi, ni kuconnect na maHr na makampuni, na watu ambao wako kwenye field/eneo ambalo linaendana na kazi unayotafuta. Yani uwe una circle ya watu ambao wanafanya kile unachokifanya na umeconnect na mahr.
Pia ni vizuri kufollow makampuni maana itakuwa ni rahisi kujua kama wametangaza kazi na kujua ni kitu gani kinachoendelea katika makampuni hayo.
Haya ninayozungumza ni kutokana na experience yangu ya muda mfupi toka nimetumia huu mtandao na response ninayoipata. Pia kama unaweza hata kutengeneza kivideo ukakiweka kwenye profile siyo mbaya.
Dunia imebadilika, juzi nimemuona HR flani katangaza kazi Linkedin anasema hataki watu watume documents za CV anataka mtu ajireodi kwa simu yake na usitumie professional videographer, we jirekodi jieleze elimu yako na experience yako halafu mtumie.
Kwa leo ni hayo tu.