Ulimbo
JF-Expert Member
- Aug 14, 2009
- 3,768
- 4,038
Habari wanajamvi,
Naombeni kama kuna mtu anaye fahamu au mwenye historia ya watu waliokuwa wanaishi katika eneo la Engaruka Wilayani Monduli Mkoani Arusha.
Wenyeji/watu waliokuwa wanahishi eneo hili walikuwa ni wataalamu sana kwaeny mambo ya kilimo, hasa cha umwagiliaji, Wale wliosoma historia watakubaliana nami
Nimejaribu sana kutafuta historia ya hawa watu waliokuwa wanahishi hapo lakini hakuna vielelezo sahihi ni watu/kabila gani lilikuwa ninaishi hapo awali.
Naombeni mwenye habari zozote tushirikishane hapa
Karibuni
Naombeni kama kuna mtu anaye fahamu au mwenye historia ya watu waliokuwa wanaishi katika eneo la Engaruka Wilayani Monduli Mkoani Arusha.
Wenyeji/watu waliokuwa wanahishi eneo hili walikuwa ni wataalamu sana kwaeny mambo ya kilimo, hasa cha umwagiliaji, Wale wliosoma historia watakubaliana nami
Nimejaribu sana kutafuta historia ya hawa watu waliokuwa wanahishi hapo lakini hakuna vielelezo sahihi ni watu/kabila gani lilikuwa ninaishi hapo awali.
Naombeni mwenye habari zozote tushirikishane hapa
Karibuni