MC44
JF-Expert Member
- Mar 1, 2019
- 2,169
- 3,297
Baada ya kukaa maeneo ya machimbo kwa kipindi flani nimeona na nimefanya vitu vingi. Vingine nimeandika hapa:
Sitasahau biashara ya uchimbaji ilivyonifilisi
Na hii:
Jamaa walivyo dhamiria kuniua kisa machimbo ya dhahabu
Naomba leo nieleze KAKUMBA - dhahabu feki.
Kawaida mawe au fello yakitolewa chini huwekwa kwenye mifuko tayri kwa mnada.
Hapo wanunuzi huja na muuzaji kupanga bei.
Anakuja jamaa na vipande vya kofuli...imesagwa na kuwa unga ananyunyiza kwenye mfuko halafu unakuja kuchukua sampuli unapiga chabo unaona zile chenga za kofuli unajua ni dhahabu unaropoka bei kubwa unachokutana nacho ni siri yako.
Jamaa alichukua mzigo katengeneza hivyo kapeleka kwa mchina kuuza.
Jamaa kapiga chabo kapagawa. Kahesabu pesa ya kutosha.... pikipiki ziliwashwa mwendo wake hata gari za mwenye hazikamati.
Mchina anakuja kushtuka....jamaa wapo baa wanapiga vitu na Malaya pembeni.
Huwezi tena kuwapata
Na ule mzigo anakusanya tuu maudongo hayana chochote.
Karibuni kwenye dhahabu....
Sitasahau biashara ya uchimbaji ilivyonifilisi
Na hii:
Jamaa walivyo dhamiria kuniua kisa machimbo ya dhahabu
Naomba leo nieleze KAKUMBA - dhahabu feki.
Kawaida mawe au fello yakitolewa chini huwekwa kwenye mifuko tayri kwa mnada.
Hapo wanunuzi huja na muuzaji kupanga bei.
Anakuja jamaa na vipande vya kofuli...imesagwa na kuwa unga ananyunyiza kwenye mfuko halafu unakuja kuchukua sampuli unapiga chabo unaona zile chenga za kofuli unajua ni dhahabu unaropoka bei kubwa unachokutana nacho ni siri yako.
Jamaa alichukua mzigo katengeneza hivyo kapeleka kwa mchina kuuza.
Jamaa kapiga chabo kapagawa. Kahesabu pesa ya kutosha.... pikipiki ziliwashwa mwendo wake hata gari za mwenye hazikamati.
Mchina anakuja kushtuka....jamaa wapo baa wanapiga vitu na Malaya pembeni.
Huwezi tena kuwapata
Na ule mzigo anakusanya tuu maudongo hayana chochote.
Karibuni kwenye dhahabu....