Bwana Mapesa JF-Expert Member Joined Apr 28, 2011 Posts 2,551 Reaction score 1,777 Mar 1, 2018 #1 Habari wanaJf Kitaaluma si daktari, ila nimeona kwa wenye matatizo ya miguu kama mimi hii article inatufaa.Kwa hisani ya Azam tv Medicounter.
Habari wanaJf Kitaaluma si daktari, ila nimeona kwa wenye matatizo ya miguu kama mimi hii article inatufaa.Kwa hisani ya Azam tv Medicounter.
Don255 JF-Expert Member Joined May 30, 2012 Posts 1,069 Reaction score 849 Mar 1, 2018 #2 Goti huwa linanizingua kweli....siwezi hata kupiga mipira mirefu kiwanjani siku hizi
Beesmom JF-Expert Member Joined May 30, 2016 Posts 17,202 Reaction score 28,732 Mar 2, 2018 #3 tumia mbegu za mnyonyo kwa kumeza na majani ya mnyonyo kukandia magoti.ndo nilipona kiivo
B bukinda Member Joined Dec 16, 2017 Posts 34 Reaction score 13 Mar 4, 2018 #4 Ndugu zile mbegu nisum.