Fahamu kuhusu Biashara ya bisi (popcorn)


Picha nyingine zimegoma ku attach, tuwasiliane kwa e-mail.
 
Mkuu G12 asante sana mkuu nashukuru bei ni poa sana cha msing ni mikakati itakuwaje katika kuipata ila najua sioni kama itakuwa shida ngoja nioganizi na jamaa

Pamoja sana mkuu. Hela unalipa kwa agent wetu aliyeko Tanzania, then sisi tunatuma mzigo.
Hatuna longolongo mkuu, REPUTATION ya kampuni yetu ni muhimu sana, tunatazama mbali zaidi, hivyo tutajitahidi kadri tuwezavyo kuhakikisha service zetu zinakuwa za ukweli na uhakika.
 
hata mimi nataka nisaidie nitapata wapi hizi machine za kutengeneza popcorn?
Asante kunijibu kaka


Nimemwaga details zote hapa jamvini, kazi kwako kuchagua na kufanya maamuzi.

Tunakushauri utembelee website(www.g12.hk) yetu pia. Mfahamishe na rafiki yako.

G12 International Co. Ltd
 

nimeipenda hiyo ya mataili na niko tayari lakini nomba kujua mpaka kunifikia ni siku ngap na na itagarimu shng ngap. Asante sana mkuu tunaimani na kampuni
 
nimeipenda hiyo ya mataili na niko tayari lakini nomba kujua mpaka kunifikia ni siku ngap na na itagarimu shng ngap. Asante sana mkuu tunaimani na kampuni

Mkuu box lake lina vipimo vifuatavyo: 58cmx46cmx76cm
Hizo ni sawa na 0.20 CBM(cubic metre).
Gharama za usafiri wa meli + ushuru = 0.20x300 = 60.83 USD.
Inachukua mwezi mmoja kusafirisha mzigo kutoka hapa hadi Tanzania.

Tumia mawasiliano ya e-mail. Hatuingii JF mara kwa mara, hivyo inakuwa vigumu kuona post zote kama hizi.

Check contacts zetu kwenye site yetu.

G12 International Co. Ltd.
 
nimeipenda hiyo ya mataili na niko tayari lakini nomba kujua mpaka kunifikia ni siku ngap na na itagarimu shng ngap. Asante sana mkuu tunaimani na kampuni

Ndugu, tuandikie PM ili kurahisisha mawasiliano. Tunapata PM alert pindi unapotuandikia PM.
 
Wakuu naomba kujuzwa juu ya bei ya jiko la umeme la kukaangia bisi (Popcorn machine)

Huku kwetu kuna jamaa anauza 400,000/- sasa je hii ndo bei yake kweli hasa kwa Dar es Salaam!?
Na kwa Dar nitazipata wapi.
 

Attachments

  • $_35.jpeg
    10.8 KB · Views: 335
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…