Kasomi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 11,030
- 20,391
fluorosis ni miongoni mwa magonjwa ya kutoboka na kupata madoa kwenye meno. Ugonjwa huu husababishwa na kiwango cha juu cha fluoride.
Moja ya nchi ambazo zinakubwa na Ugonjwa huu ni Tanzania, na meneo mengi yaliyo kubwa na Ugonjwa huu au yenye kiwango cha juu cha fluoride ni Maeneo ya mkoa wa Arusha, Simiyu, Singida, na maeneo madogo ya mkoa wa Tabora na Shinyanga
Kulingana na mamlaka, watu wanne kati ya kumi katika majiji na mikoa athirika wanaugua ugonjwa wa fluorosis ambao husababisha madoa ya kudumu na kutoboka kwa meno.
Fluoride hupatikana hasa katika maji na Meno yanayo sababishwa na fluoride hubadilika Rangi na kuwa naunjano.
Lakini mifupa ya ng'ombe inatumiwaje kupambana na sumu ya fluoride?
Moja ya nchi ambazo zinakubwa na Ugonjwa huu ni Tanzania, na meneo mengi yaliyo kubwa na Ugonjwa huu au yenye kiwango cha juu cha fluoride ni Maeneo ya mkoa wa Arusha, Simiyu, Singida, na maeneo madogo ya mkoa wa Tabora na Shinyanga
Kulingana na mamlaka, watu wanne kati ya kumi katika majiji na mikoa athirika wanaugua ugonjwa wa fluorosis ambao husababisha madoa ya kudumu na kutoboka kwa meno.
Fluoride hupatikana hasa katika maji na Meno yanayo sababishwa na fluoride hubadilika Rangi na kuwa naunjano.
Lakini mifupa ya ng'ombe inatumiwaje kupambana na sumu ya fluoride?