Kasomi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 11,030
- 20,391
FAHAMU KUHUSU HUMAN CLONING
Neno "cloning" linamaana ya kwamba ni kile kitendo cha kutengeneza kiumbe kipya kupitia material ya kiumbe kingine ili kutafuta mfanano sawa katika mahabara•••
Clone ipo yaaina nyingi kama ya mimea na wanyama
"Human Cloning" ni kitendo cha kuchukua cell, Tishu na jenis
(DNA) ya MTU Fulani na kutengeneza MTU mwingine anae fanana na yule wa mwanzo kwa kila kitu kupitia mahabara
Human cloning ilianza miaka ya 1960 lakini baadaye umoja wa mataifa ulikataza kitendo hicho kibaya baada ya mwaka 1967 CIA kuaibishwa na bunge LA marekani kwa kufanya majaribio ya clone ya binadamu kwenye project ya MK_ULTRA ndipo mataifa mengine yote yalipoacha...
Lakini kuna vikundi kama illuminant/Freemason wao waliendelea kufanya kitendo hicho kwasili ili kutimiza lengo lao lakuja kuitawala dunia katika new word order
Ikawa wanafanya ivi endapo ikatokea MTU maarufu mwenye ushawishi mkubwa duniani ambae anapingana nao basi ilikuwa ana uwawa na kuchukuliwa cells na gene zake ili kutengeneza mtu mwingine (copy) anaefanana na yule walie muuwa..na huyo mpya ataendelea kufanya Yale aliye yafanya yule lakini akiwa chini ya mamlaka yao hao Freemason au mfano MTU wao muhimu akishakufa wanamfanyia clone ili aendelee kuishi.. katika hii ishu nikwamba wapo watu maarufu ikiwemo wanamziki ,wanasiasa,na waigizaji ambao tunawajua lakini sio halisi yaani namaanisha walishakufa kitambo lakini wakaweka siri juu ya vifo vyao na kutengeneza copy ya MTU mwingine kama yeye ambae ana ishi mpaka sasa... Hii hapa list ya watu maarufu ambao walikufa lakini waka fanyiwa clone waendelee kuishiii........
TUNAENDELEA...
HUMAN CLONING
⏩kama nilivyosema katika makala hapo juu kwamba kuna watu ambao nifeki hawapa sasa.
Moja ya watu ambao inasemekana walikuwa wamefanyiwa human cloning ni aliye kuwa Rais wa Africa kusini Nelson Mandela. Leo acha nimzungumzie mwingine ukiachana na Mandela na si mwingine ni👇
1➖ EMINEM
ukweli nikwamba huyu Eminem tunaemuona sasa sio halisi Eminem halisi alishakufaga tangu mwaka 2006 ambapo kama utakua na kumbukumbu mwaka huo ilitokea ishu ya Eminem kujioverdose na kunusulika kufa sasa ukweli nikwamba baada ya kujioverdose alifariki ila walifanya siri kifo chake kutokana na umuhimu wake na ushawishi wake mkubwa katika dunia..ivyo basi waka amua kumtengeneza Eminem feki ambae ndohuyu tunamuona kwakuthibitisha ilo unawesa kuona kua Eminem baada ya kupata mkasa huo na kupona alibadilika sana ata uimbaji wake pia alianza kuimba nyimbo za kishetani pia vilevile maana ya jina lake Eminem alilifafanua kama "Every mammals is nice except me"
Na marakadhaa amenukuliwa akisema "anafikilia kuhusu kifo chake kila anapoenda kulala"" pia katika ngoma zake nyingi amezungumza kua yeye sio binadamu wa kawaida mfano nyimbo ya Cinderella kuna sehemu anasema "send da fellenshady done me to wrap the game up in a cellophane raise hell from hell he come but didn't come to bore u with the Cinderella story nor did he come to do the same "
Neno "cloning" linamaana ya kwamba ni kile kitendo cha kutengeneza kiumbe kipya kupitia material ya kiumbe kingine ili kutafuta mfanano sawa katika mahabara•••
Clone ipo yaaina nyingi kama ya mimea na wanyama
"Human Cloning" ni kitendo cha kuchukua cell, Tishu na jenis
(DNA) ya MTU Fulani na kutengeneza MTU mwingine anae fanana na yule wa mwanzo kwa kila kitu kupitia mahabara
Human cloning ilianza miaka ya 1960 lakini baadaye umoja wa mataifa ulikataza kitendo hicho kibaya baada ya mwaka 1967 CIA kuaibishwa na bunge LA marekani kwa kufanya majaribio ya clone ya binadamu kwenye project ya MK_ULTRA ndipo mataifa mengine yote yalipoacha...
Lakini kuna vikundi kama illuminant/Freemason wao waliendelea kufanya kitendo hicho kwasili ili kutimiza lengo lao lakuja kuitawala dunia katika new word order
Ikawa wanafanya ivi endapo ikatokea MTU maarufu mwenye ushawishi mkubwa duniani ambae anapingana nao basi ilikuwa ana uwawa na kuchukuliwa cells na gene zake ili kutengeneza mtu mwingine (copy) anaefanana na yule walie muuwa..na huyo mpya ataendelea kufanya Yale aliye yafanya yule lakini akiwa chini ya mamlaka yao hao Freemason au mfano MTU wao muhimu akishakufa wanamfanyia clone ili aendelee kuishi.. katika hii ishu nikwamba wapo watu maarufu ikiwemo wanamziki ,wanasiasa,na waigizaji ambao tunawajua lakini sio halisi yaani namaanisha walishakufa kitambo lakini wakaweka siri juu ya vifo vyao na kutengeneza copy ya MTU mwingine kama yeye ambae ana ishi mpaka sasa... Hii hapa list ya watu maarufu ambao walikufa lakini waka fanyiwa clone waendelee kuishiii........
TUNAENDELEA...
HUMAN CLONING
⏩kama nilivyosema katika makala hapo juu kwamba kuna watu ambao nifeki hawapa sasa.
Moja ya watu ambao inasemekana walikuwa wamefanyiwa human cloning ni aliye kuwa Rais wa Africa kusini Nelson Mandela. Leo acha nimzungumzie mwingine ukiachana na Mandela na si mwingine ni👇
1➖ EMINEM
ukweli nikwamba huyu Eminem tunaemuona sasa sio halisi Eminem halisi alishakufaga tangu mwaka 2006 ambapo kama utakua na kumbukumbu mwaka huo ilitokea ishu ya Eminem kujioverdose na kunusulika kufa sasa ukweli nikwamba baada ya kujioverdose alifariki ila walifanya siri kifo chake kutokana na umuhimu wake na ushawishi wake mkubwa katika dunia..ivyo basi waka amua kumtengeneza Eminem feki ambae ndohuyu tunamuona kwakuthibitisha ilo unawesa kuona kua Eminem baada ya kupata mkasa huo na kupona alibadilika sana ata uimbaji wake pia alianza kuimba nyimbo za kishetani pia vilevile maana ya jina lake Eminem alilifafanua kama "Every mammals is nice except me"
Na marakadhaa amenukuliwa akisema "anafikilia kuhusu kifo chake kila anapoenda kulala"" pia katika ngoma zake nyingi amezungumza kua yeye sio binadamu wa kawaida mfano nyimbo ya Cinderella kuna sehemu anasema "send da fellenshady done me to wrap the game up in a cellophane raise hell from hell he come but didn't come to bore u with the Cinderella story nor did he come to do the same "