Fahamu Kuhusu Human Cloning

Kuna Mwana jf mmoja aliwahi Sema hata Diamond sio halisi, ni cloned, akasema angeleta chapisho lake. ILa sikumbuki anatuma ID gani.
Je, is Diamond cloned?
Hapa sasa mnaleta story za vijiweni
 
hadithi,,hadithiii,,!
hadithi njoo,,uwongo njoo utam koleaaa!
ahsante sana kwa chai.
 
Kwhy Eminem alivyokufa hiyo 2006 wakachukua cells zake na ndani ya muda mfupi akatikea Eminem mupya na mkubwa vilevile eti coz aliumwa na kupona muda chache coz hizo nazo ndan ya muda mchache zikatoa mifupa naviungi vyote
?!
 
Ukisikia uongo wa mchana kweupe ndo huu.Kama Mtu alikuwa na miaka 30 akauawa.Akafanyiwa,itambidi clone azaliwe na imchukue miaka ya ukuaji wa binadamu wa kawaida kufikia umri huo.Kama Eminem alikufa itabidi mwingine azaliwe na imchukue miaka ya ukwelinawe mkubwa n.k.Yaaninwewe unapiga hadithi tu
 
Sasa Kama wanatengeneza mtu mpya maabara anakuwa lini mpaka afikie umri mkubwa wa huyo marehemu wa kwanza?
 
Kwhy Eminem alivyokufa hiyo 2006 wakachukua cells zake na ndani ya muda mfupi akatikea Eminem mupya na mkubwa vilevile eti coz aliumwa na kupona muda chache coz hizo nazo ndan ya muda mchache zikatoa mifupa naviungi vyote
?!
Mkuu kuna uzi unao mzungumzia Mandela humu kua na yeye ni clone ukiusoma unaweza kunielewa hapa.
 
Mkuu mzungu siyo kabisa kama ameweza kutengeneza Robot iweje clone ashindwe, kama kwa sasa yupo maabara kutengeneza mtoto iweje clone.

 
Sasa Kama wanatengeneza mtu mpya maabara anakuwa lini mpaka afikie umri mkubwa wa huyo marehemu wa kwanza?
Kama anatengenezwa mtoto maabara yeye atafuata hatua za ukuaji.

Ila kama kutengeneza clone wao watatengeneza Mtu wao mkubwa mwenye kufanana na huyo wa awali.
 
Kama anatengenezwa mtoto maabara yeye atafuata hatua za ukuaji.

Ila kama kutengeneza clone wao watatengeneza Mtu wao mkubwa mwenye kufanana na huyo wa awali.
Nyuzi zako ndugu yangu zimekaa kisayansi Sana😳
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…