Fahamu kuhusu kilimo bora cha Hiliki

Wewe ni mtu Wa tatu kuona unatafuta hiriki.
Na picha inayoambatanishwa ni hiihii.
Tuelezeeni kuhusu hiyo fursa isije mkapigwa kimyakimya mkaja kulialia humu

Itakuwa wamepata kutoka kwangu!



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kama una hela ya kulipia cash bila janja janja wala longo longo ni PM nikupe maelekezo pakuipata,hata ukitaka tani 100.
Ila niambie kwanza utanunua kwa kilo bei gani ili na mm niweke changu cha udalali,ila km ww ni dalali km mm hauna hela wala shamba tutashindwana.
 
watafute raystar export limited wanasource dunia nzima 0652472486


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Sasa pm nakutumia namba yangu
Tubonge mm ntakulink kwa wakulima moja kwa moja hko usambara mountain's
Ambao hao wananikusanyiaga na mm

Usijali mm syo mchoyo wa connection

Ova
Habari naomba na mimi namba nilikuwa nahitaji hiliki asante
 
Usisahau fika pande za Ambangulu ya wasambaa, Kizumba, Mashindei, Tamota, Ngua, Kwemn'tindi, Lewa na Kwebago. Huko Iliki ndo pande zake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…