Juani tu....ila kuna wengine wanakausha kwa kutumia moto wa kuni ila ukiwa mjanja utaijua tu maana inababukaHiliki inatakiwa ikauke kwa kubembelezwa chini ya mti
Ah Sema wanunuzi walaliaji bado natafuta buyer ambayo ni serious na syo mlaliajiWakishauza wananunua bati na kusomesha watoto. Hapo mama atanunuliwa vitenge vya wax.
Iliki ni kiungo chenye thamani sana
Una kilo zaidi ya 100?Ah Sema wanunuzi walaliaji bado natafuta buyer ambayo ni serious na syo mlaliaji
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpk sasa nishauza jumba ya kg 220Una kilo zaidi ya 100?
Iriki nakusanya hko viijiji mbali mbaliUna kilo zaidi ya 100?
Ungepata dili ya kupeleka supermarket South Africa
Lakini naona huko wana kausha vibaya maana sijaona za kijani kabisa kama zinazotoka india au GuatemalaHiliki inatakiwa ikauke kwa kubembelezwa chini ya mti
Hiyo ndy mipango SasaUngepata dili ya kupeleka supermarket South Africa
Iriki ya India haina ubora kama ya kwetuLakini naona huko wana kausha vibaya maana sijaona za kijani kabisa kama zinazotoka india au Guatemala
Na za kijani ndio zina bei kubwa zaidi
Sent from my SM using Tapatalk
Hata tangawizi zao hazina ubora Sema zimearibu soko la tangawizi ila kwa waelewa wanajua iriki na zao toka hku ni boraLakini naona huko wana kausha vibaya maana sijaona za kijani kabisa kama zinazotoka india au Guatemala
Na za kijani ndio zina bei kubwa zaidi
Sent from my SM using Tapatalk
Ya kwetu ni organicHata tangawizi zao hazina ubora Sema zimearibu soko la tangawizi ila kwa waelewa wanajua iriki na zao toka hku ni bora
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Iriki ya India huwezi ifananisha na ya tanga basi tu!nishakutana samples oman walizifanyia vipimo ili pita Bila shidaYa kwetu ni organic
Jaribu kutafuta soko Misri ni watumiaji wazuri piaIriki ya India huwezi ifananisha na ya tanga basi tu!nishakutana samples oman walizifanyia vipimo ili pita Bila shida
Sema hayo mazao mengine toka nchi hzo bei zao ni chini ila ubora hamna kitu
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Walikujaga tz mmisri na Syria ila walitokea oman kuna mipango hiyo hpo badayeJaribu kutafuta soko Misri ni watumiaji wazuri pia
Nyumbani ni bora zaidi kwani ni organic na hatuna haraka ya mafanikio na kutengeneza soko la nje.Hata tangawizi zao hazina ubora Sema zimearibu soko la tangawizi ila kwa waelewa wanajua iriki na zao toka hku ni bora
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Iriki nyeusi sijawahi kutana nayo mkuuNyumbani ni bora zaidi kwani ni organic na hatuna haraka ya mafanikio na kutengeneza soko la nje.
Nchi hizo zingine wanazalisha kwa ajili ya kuuza nje kwenye nchi ambazo wanahitaji zaidi kama ulaya na uarabuni.
Waazalisha kwa gm na packaging nzuri na experience yao na kujulikana kwao katika masoko ya nje kwa miaka mingi ndio inawaweka juu
Hivi black cardamom tunazalisha pia, samahani lakini
Sent from my SM using Tapatalk
We should keep in touch mkuu.Walikujaga tz mmisri na Syria ila walitokea oman kuna mipango hiyo hpo badaye
Kuna hadi mi abdalasini kwa wingi huko
So let's hope for the best
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli tukiweza fanya packaging nzuri,grading pia tunaweza tukishirikiana kungana vichwa vyote pamoja hakishindikani kitu....Nyumbani ni bora zaidi kwani ni organic na hatuna haraka ya mafanikio na kutengeneza soko la nje.
Nchi hizo zingine wanazalisha kwa ajili ya kuuza nje kwenye nchi ambazo wanahitaji zaidi kama ulaya na uarabuni.
Waazalisha kwa gm na packaging nzuri na experience yao na kujulikana kwao katika masoko ya nje kwa miaka mingi ndio inawaweka juu
Hivi black cardamom tunazalisha pia, samahani lakini
Sent from my SM using Tapatalk
Mbona umetufungia PM?We should keep in touch mkuu.