๐—™๐—ฎ๐—ต๐—ฎ๐—บ๐˜‚ ๐—ธ๐˜‚๐—ต๐˜‚๐˜€๐˜‚ ๐—บ๐—ฎ๐—ฏ๐—ผ๐—บ๐˜‚ ๐˜†๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐—ฐ๐—ต๐—ผ๐˜‡๐—ถ

๐—™๐—ฎ๐—ต๐—ฎ๐—บ๐˜‚ ๐—ธ๐˜‚๐—ต๐˜‚๐˜€๐˜‚ ๐—บ๐—ฎ๐—ฏ๐—ผ๐—บ๐˜‚ ๐˜†๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐—ฐ๐—ต๐—ผ๐˜‡๐—ถ

Teknolojia ni Yetu sote

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2020
Posts
620
Reaction score
1,240
๐—™๐—ฎ๐—ต๐—ฎ๐—บ๐˜‚ ๐—ธ๐˜‚๐—ต๐˜‚๐˜€๐˜‚ ๐—บ๐—ฎ๐—ฏ๐—ผ๐—บ๐˜‚ ๐˜†๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐—ฐ๐—ต๐—ผ๐˜‡๐—ถ

1_20241216_130249_0000.png


Nazani umeshawahi kusikia sijui polisi wametumia mabomu ya machozi kuwatawanya kikundi fulani Cha watu mahali fulani JE hayo mabomu ya machozi ni kitu gani ? kwa ufupi tu utajifunza Leo.

2_20241216_130250_0001.png


Mabomu ya kutoa machozi ni mabomu ambayo yenye mkusanyiko wa kemikali ambazo ufanya kazi ya kukera Neva za mwili na macho yako na kuanza kutoa machozi.

3_20241216_130250_0002.png



Kemikali hizo huweza kusababisha pua na macho kuwasha pamoja na kuvimba, mabomu yenye kemikali uhifadhiwa kwenye kopo na kupigwa juu baada ya hapo utokea ukungu na vumbi jembamba hewani wakati mtu anaangaika Sasa kuvuta pumzi, kemikali hiyo husababisha macho kuwasha na koo kupumua kwa shida.

4_20241216_130250_0003.png


Mara nyingi hutumiwq na polisi kwenye kutawanya umati wa watu mahali fulani ambao uwa wamesababisha vurugu, kuvunja maandamano au kutuliza ghasia.

Sio Bomu ambalo linarushwa kwa mkono hapana hutumia silaha maalum inaitwa anti Riots kwenye kufanya hiyo shughuli ni poda ambayo uunda ukungu wenye kukuletea madhara kwa Muda fulani.

5_20241216_130250_0004.png


Mabomu haya yaligunduliwa mwaka 1928 kwa mara ya Kwanza na wana SAYANSI toka nchini marekani.

Mabomu yake yamegawanyika sehemu kadhaa
1) 1-chloroacetophenone (CN) - hii usababisha muwasho wa macho , koo na ngozi ukivuta tu pumzi huisi macho yanavimba , kutokuona vizuri , kuwashwa kwa pua , koo ngozi na kupumua kwa tabu.

6_20241216_130250_0005.png


2) 2-chlorobenzylidene malononitrile (CS) -
3) Dibenz[b,f]-1,4-oxazepine (CR) alafu Kuna Moja inatumia maji ya pilipili hii sio mchezo macho yanawasha sio poa ni tofauti na CN, CS na CR.

7_20241216_130250_0006.png
 
๐—™๐—ฎ๐—ต๐—ฎ๐—บ๐˜‚ ๐—ธ๐˜‚๐—ต๐˜‚๐˜€๐˜‚ ๐—บ๐—ฎ๐—ฏ๐—ผ๐—บ๐˜‚ ๐˜†๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐—ฐ๐—ต๐—ผ๐˜‡๐—ถ

View attachment 3178123

Nazani umeshawahi kusikia sijui polisi wametumia mabomu ya machozi kuwatawanya kikundi fulani Cha watu mahali fulani JE hayo mabomu ya machozi ni kitu gani ? kwa ufupi tu utajifunza Leo.

View attachment 3178125

Mabomu ya kutoa machozi ni mabomu ambayo yenye mkusanyiko wa kemikali ambazo ufanya kazi ya kukera Neva za mwili na macho yako na kuanza kutoa machozi.

View attachment 3178126


Kemikali hizo huweza kusababisha pua na macho kuwasha pamoja na kuvimba, mabomu yenye kemikali uhifadhiwa kwenye kopo na kupigwa juu baada ya hapo utokea ukungu na vumbi jembamba hewani wakati mtu anaangaika Sasa kuvuta pumzi, kemikali hiyo husababisha macho kuwasha na koo kupumua kwa shida.

View attachment 3178127

Mara nyingi hutumiwq na polisi kwenye kutawanya umati wa watu mahali fulani ambao uwa wamesababisha vurugu, kuvunja maandamano au kutuliza ghasia.

Sio Bomu ambalo linarushwa kwa mkono hapana hutumia silaha maalum inaitwa anti Riots kwenye kufanya hiyo shughuli ni poda ambayo uunda ukungu wenye kukuletea madhara kwa Muda fulani.

View attachment 3178128

Mabomu haya yaligunduliwa mwaka 1928 kwa mara ya Kwanza na wana SAYANSI toka nchini marekani.

Mabomu yake yamegawanyika sehemu kadhaa
1) 1-chloroacetophenone (CN) - hii usababisha muwasho wa macho , koo na ngozi ukivuta tu pumzi huisi macho yanavimba , kutokuona vizuri , kuwashwa kwa pua , koo ngozi na kupumua kwa tabu.

View attachment 3178129

2) 2-chlorobenzylidene malononitrile (CS) -
3) Dibenz[b,f]-1,4-oxazepine (CR) alafu Kuna Moja inatumia maji ya pilipili hii sio mchezo macho yanawasha sio poa ni tofauti na CN, CS na CR.

View attachment 3178130
Kweli haya mabomu ni hatari,swali langu ni je,kule syria polisi hawakuwa nayo,mbona viongozi wa nchi wamefurushwa?
 
Back
Top Bottom