Usedcountrynewpipo
JF-Expert Member
- Aug 1, 2012
- 3,636
- 2,728
Kwa sisi tunaotumia manual uzi huu hautuhusu!Lol
Bado hujafafanua....mm nijuavyo ni kuwa od ikiwa off unaendesha hadi speed ya mwisho...yaani kana ni gear tano unamaliza zote. ...ila ikiwa on mwisho gear 3....sasa sijajua madhara ni nini hasa...labda mleta mada afafanue
over drive od if you turn it on the light will go off.... Kama upo katika mazingira ya kawaida sio highway, hakuna milima, you don't overtake, unaendesha kawaida inatakiwa kuwa taa inawaka ikiwa ina masha kuwa od off
taa kuwaka mara nyingi uhashiria kuna taadhari lakini kwa od ni tofauti. Opposite
Wewe ndio umekosea kabisa,naomba nisome kwa makini!
Katika hali ya kawaida OD INATAKIWA iwe ON,ndio maana huoni taa,meaning iko ON. Kazi yake ni nini?
OD ina over ride engine,yaani gari inawahi kuingiza gear inayofuata bila rpm kwenda kwenye maximum,na hivyo kuokoa mafuta.
Ukiona taa nyekundu OD OFF ina maana umeondoa uwezo was gearbox Ku over ride engine kwa maana hio engine ita rev to maximum ndio gear inayofuata itaingia,kwa njia hii utapata MAXIMUM POWER from your engine.
Kifupi ukiwa unapanda mlima au unataka kumpita mtu unazima OD ndio unaona yale maandishi OD OFF,hapo unapata max power,lakini kwa uendeshaji wa kawaida OD must be ON yaani ile taa haitakiwi ionekane ndio maana Ina rangi nyekundu Mara nyingi.
kumbe kuna watu wanamagari halafu bado kuna vitu hawajui kazi zake
Watu wengi wanapenda kuongelea magar waonekane wanayo ila hawajui kitu. Unapata complication kujua maana ya OD? Hivi asume unaendesha gar high then unaamua ku overtake gar ambalo pia lipo speed ila kwa mbali unaona kuna gari linakuja au huoni mbele vizur, ni lazima utataka ku overtake kwa haraka ili uwe salama zaidi. Hapo OD inakusaidiaje? Baada ya ku ingage nguvu ya gar inakuwaje RPM inasomaje? Labda aje mtu ajibu haya maswali
..Mpare wa milimani..
very wrong
Mwerevu hujifunza kila siku. Mpumbavu hujiona anajua kila kitu.
Kwa ninavyoona od inatakiwa iwe on mda wote kutapunguza ulaji wa mafuta anaebisha afanye kwa vitendo aendeshe gari od ikiwa on na afike hadi speed 60 halafu azime od aone gari inavyokua kua nzito na kupungua mwendo
Halafu kuna wasio na magari na wanajua kila kitu kuhusu magari
Maelezo yako ni mazuri sana mkuu lakini nadhani ungesema unaongelea gari gani kwani magari yote hayana tabia zonazo fanana kuhusu O/D.Kwa ufahamu wangu OD ikiwa off yaani taa kwenye dashboard inawaka fuel consumption inakuwa low na speed inafika hadi 130 km/h na fuel rotation haipandi kuzidi 3 lakini OD ikiwa ON yaani taa imezima fuel consumption lazima itakuwa kubwa sbb umeweka extra power na hapo speed ni hadi unamaliza dashboard na rotation inafika 5.
USHAURI: usiendeshe gari OD ikiwa ON kwa maeneo ya mjini sbb ni wastage of fuel na kama upo long safar weka OD ON kama una overtake tu na si vinginevyo.
mandella upo wrong
Dashboard ikionyesha taa yoyote ni alert
O/D ikiwa On ndio normal yaani unaendesha mpaka gia namba tano
Ikiwa Off ambako taa inawaka unaishia gia number nne hivyo unaongeza engine rpm uvute kasi zaidi labda ukiwa unapanda kilima ama unaovertake
Ile taa ikiwaka inakuremind kuwa upo kwenye abnormal driving