Fahamu kuhusu matumizi ya OverDrive (OD) kwenye gari automatic

Naomba kuuliza, mimi sijaona hii alert ya OD kwenye dashboard yangu wakati naweka switch ON, ila nimeona tu ECT POWER, je nauliza hii ndio Over Drive yenyewe ama?
 

Huo ni uongo sahihi ni kinyume chake. Taa ya overdrive inakuwa inawaka kama overdrive ikiwa OFF. Overdrive ikiwa OFF ni kama kupangua gia kwenye gari ya manual hivyo unakuwa na more power na gari inakuwa nzito pia ulaji wa mafuta unaongezeka. Overdrive inafanya kazi kuanzia speed fulani kama speed 72km/hr hivi, chini ya hapo inakuwa haifanyi kazi.e Hakuna ulazima wa kuweka overdrive OFF unless unataka fanya gari itumie power kubwa kwa mwendo huo.
 
Magari ya Mtumba - either OD is ON or OFF the difference is the same!!!!!
 
Wakuu sana, Mandela na namwakalima, na monomotapa, na Wabogojo,
Iko hivi, ili kuelewa vizuri somo la overdrive, nenda kwenye highway, ukiwa kwenye spidi, angalia dashboard yako, kama hakuna taa ya O/D OFF, maana yake, overdrive iko on. hapo gari inatumia mafuta kidogo na injini inakuwa nyepesi. Ukibonyeza button alafu taa ya O/D OFF ikiwa inawaka, utagundua gari inanguruma kwa nguvu sana na inaongeza spidi sana. Maana yake overdrive iko off na mzunguko wa injini unaongezeka maradufu. Hapo gari inatumia nguvu kubwa sana na mafuta kuliko kawaida.

Kwa lugha rahisi, taa ya OD OFF ikiwa inawaka, ni sawa na mwanariadha uwanjani akiwa anakimbia mbio ndefu alafu inapopigwa filimbi ya kumaliza mzunguko anaongeza spidi kiasi cha kumaliza nguvu zoooooooote alizo nazo mwilini. Just imagine anatumia calories kiasi gani.
Nafikiri umenipata
 
Last edited by a moderator:

Mkuu OIL CHAFU,mimi gari yangu ikiwa highway na OD ipo OFF yaani taa inawaka gari huwa nyepesi sana hata relaxibility yake inakuwa ipo vizuri sana,sasa nikibonyeza button ya OD kuwa ON taa inazimika na gari inaunguruma kwa nguvu...speed inaongezeka na rotation ya mafuta inapanda sana...je hapo haili mafuta? Mfano..wiki mbili zilizopita nilienda safari ya 440km,wakati naenda niliweka OD OFF muda wote mpaka nafika nilitumia lita 35 wakati narudi niliweka OD ON na nilitumia lita kama 42 hivi. Je hapa imekaaje mkuu.? Ufafanuzi tafadhali
 
Last edited by a moderator:
OD is ON gari itatembea , na gear zote 1~5/6 while taa imezima ila ikiwa OD is OFF taa inawaka ila gari itatembea mpaka gear 1~4
 
Hawa wajapan waulete mannual za english au swahili ili tuelewe.je kuhusu starlet mbona sioni hiyo buton
 

upo sahihi kabisa.
 
Last edited by a moderator:
Generally speaking, overdrive is the highest gear in the transmission. Overdrive allows the engine to operate at a lower RPM for a given road speed. This allows the vehicle to achieve better fuel efficiency, and often quieter operation on the highway. When it is switched on, an automatic transmission can shift into overdrive mode after a certain speed is reached (usually 70+ km/h [40-45 mph or more] depending on the load). When it is off, the automatic transmission shifting is limited to the lower gears. For an automatic transmission, it is almost always best to select overdrive and allow the transmission to control engagement of the overdrive. (It may be necessary to switch it off if the vehicle is being operated in a mountainous area, carrying a heavy load, or when the driver wishes to intentionally keep the engine running at higher RPM for quicker acceleration). With a manual transmission, overdrive should usually be selected when the average speed is above 70 km/h (40-45 mph).
 
OD is ON gari itatembea , na gear zote 1~5/6 while taa imezima ila ikiwa OD is OFF taa inawaka ila gari itatembea mpaka gear 1~4

uko sahihi ila umechanganya mambo. taa ya od ikiwa haijawaka ndo unamaliza gear zote na ukibonyeza boton ikawaka taa ya od maana yake umepangua gear kutoka top gear. hivyo hapo ulaji wa mafuta unakua mkubwa kuliko taa ya od inapokua imezimwa
 

hii lugha hii we acha tu kuna mwenzako kasema "am on stage yesterday at Zanzibar"
 
Wewe mbona unafigo na haujui kazi za figo
Mi nikusifu kuwa angalau umejitahidi kujua kusoma na kuandika, swala la wewe kufanya ulinganisho wa hoja na mifano ni msiba wa karibia wanafunzi wote wa brn taratibu utaelewa kama ulivyojua kusoma na kuandika
 
Baadhi ya watu wameshindwa kuelewa taa ya overdrive! Mimi naweza kueleza hivi...... "Thank you for a lift and please drop me off at Kibaha bus station! But if I can see at your car dashboard I can see a red warning sign "OD" which alarm you to take precaution! You are on the way to Mwanza and possibly you'l drive over 80 km per hour! ...with that speed of over 80 you are in danger with your car as the warning sign "OD" is red on ur dashboard, to avoid this danger put on your OD sign not appear red so that when your unconcious for more than 80 km your car will maintain stability and adjust itself! That red light make you bussy to take attention! Always make your dashboard clear! OD Sign shouldnt be red always!.... Ok drop off me at the bus station (Kibaha); have a Nice jorney to Mwanza! Asante kwa lift!
 
Mkui namwakalima wakati unasafir hizo km 440 ulitembea speed ndogo si kama ulipokua unarudi wakat umeweka od on ulaji wa mafuta inatokana na gari dizain yake kuna asilimia ya gari nyingi ukikimbia ndo inavokula mafuta na ulitembea mwendo wa kawaida hasa isizidi 100 ulaji unakua mzuri ila ukizidi hapo lazma inakula na huwezi tembea speed 100 ikiwa od umeweka off ni kuichosha engen tu na gearbox inakua haitembei zaid ya gear nne unatakiwa utembee od ikiwa off hadi speed 80 ikizidi hapo unabonyeza buton ya od on na utaona lazma gari itaongeza mwendo kwa haraka na itachanganya haraka sana so kwa watu wa mjini katikati ya mjii ni vizuri kutembea od off sisi wa safar tunatembea of on
 

Well said, baada ya maelezo mazuri ulitakiwa kuwaambia wadau humu kuwa wakati OD inakuwa On taa kwenye dashboard inakuaje na wakati OD inakuwa Off taa kwenye dashboard inakuaje. Hilo ndilo limekuwa tatizo la wengi...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…