MhhhhhMhhhhh!!! Hapa umedanganya kabisaaaaaaaa D2 ni tofauti kabisa na O/D( over drive)OD ni kwa ajili ya milima mikali Kazima D uiongezee na OD kama mlima mkali saaana unaweza ukatumia D 2 mchanga matope tumia L
O/D huwa mda wote kwa gari zilizo nying inakuwa ON ila kui turn OFF ndio optional na yenyewe hutumika zaid unapo kuwa mwendo kasi zaid ya 80kmh hufanya gari kuwa na mwendo na gari kuwa nyepesi lakin stable isiyo kuwa na kelele nyingi pia huruhusu gar kuingage automatic kwenye gia nyepesi kwa haraka hata ukiwa katika mwendo wa wastani. Kifupi ni hivyo.Ni nzuri zaidi wakati una overtake gari na bahati mbaya kuna gari inakuja mbele yako,ili uweze kuwahi kabla hamjakutana uso kwa uso unatakiwa kutumia O/D,lakini ni vizuri gari yako iwe katika speed kuanzia 80kph na kuendelea.
Ni nzuri zaidi wakati una overtake gari na bahati mbaya kuna gari inakuja mbele yako,ili uweze kuwahi kabla hamjakutana uso kwa uso unatakiwa kutumia O/D,lakini ni vizuri gari yako iwe katika speed kuanzia 80kph na kuendelea.
Mmmh sina uhakika sana na matumizi ya OD uliyofafanuaOD ni kwa ajili ya milima mikali Kazima D uiongezee na OD kama mlima mkali saaana unaweza ukatumia D 2 mchanga matope tumia L
Hiyo ninavyo jua mm hutumika sana ktk overtake na mlima mkali kazi yake ni inafanya gear zichelewe kubadilika mfano o/d ikiwa off gear zinabadilika pale mshale wa speed unavyo fika ktk no 2 na ikiwa on o/d gear znabadilika mshale ukifika ktk no 5 na gari inakuwa na power nadhani umenipataNaombeni msaada kwenye hili, O/D (over drive)inafanyaje kazi kwenye gari?
Dah!!!Hiyo ninavyo jua mm hutumika sana ktk overtake na mlima mkali kazi yake ni inafanya gear zichelewe kubadilika mfano o/d ikiwa off gear zinabadilika pale mshale wa speed unavyo fika ktk no 2 na ikiwa on o/d gear znabadilika mshale ukifika ktk no 5 na gari inakuwa na power nadhani umenipata
Hapa ukikanya kidogo haibadiliki nJohnkelly kubadilika kwenye no 2 au popote ni kulingana na ulivykanyaga ukikanyaga kidogo car computer au ECU inajua unataka kwenda mdomdo hvo inakupa gia mara kwa mara na ukikanyaga kwa nguvu inaeza shusha gia moja ikijua unaoverteki
D2 - ni kwa ajili ya gia kama 3 au 4.... Lengo la D2 ni kufanya gari iwe inacheza kati gia hizo na mara nyingi hutumika katika safari ndefu ..... Yaaani zile safari za kufunguka ambao gia namba 1 au 2 ni nadra kutumia.OD ni kwa ajili ya milima mikali Kazima D uiongezee na OD kama mlima mkali saaana unaweza ukatumia D 2 mchanga matope tumia L
Ukisema gia namba 5 unakosea nyingi ya hizi gari ni 1-4 tu kwa automatic. Sema unapokuwa kwa gia namba 4.... Ukibongeza kitufe ndani... Gia itabadilika na kuwa gia namba 3... Kusudi ni kuleta nguvu katika gari... Na ndio maana hata mngurumo unazidi...Kwa kiswahili chepesi ninavyoelewa over-drive ni gear no tano katika gari za automatic na inafanya Kazi kuanzia kwenye speed 65-80
acha kuwaingiza chaka watu...hapo hatubonyezi OD..kama unaovatake mliman ukitaka upite kwa kasi unaweka D2 hapo gari unaipa nguvu ya kupangua gia kwa kasi kurud mbili then iende 3..hapo kwa gari zingine zina botton ya power na eject huwa tunabonyeza hizo gari inakuwa kama ndege mliman...Ni nzuri zaidi wakati una overtake gari na bahati mbaya kuna gari inakuja mbele yako,ili uweze kuwahi kabla hamjakutana uso kwa uso unatakiwa kutumia O/D,lakini ni vizuri gari yako iwe katika speed kuanzia 80kph na kuendelea.
uko chaka ndugu..tulia tuKwa jinsi ninavyoelewa O/D ni gia ya juu kabisa kwenye automatic cars.
Kwamfano gari nyingi automatic kutoka Japan zinakuwa na gia 4 ikiwemo O/D,
hivyo basi kama O/D itakuwa imezimwa gari lako litakuwa linalazimika kutumia gia 3 tu badala ya 4 ( hii ni kwa magari mengi yanayotoka Japan).
Kwa mantiki hii inashauriwa O/D yako iwe on mda wote ili kuiwezesha kutumia gia zote.
O/D hutumika ku overtake na kwenye mipando hapa unatakiwa kuizima ili gari iweze kushuka Gia