OCC Doctors
Senior Member
- Jul 20, 2018
- 113
- 172
Mimba zabibu 'Molar Pregnancy' inaweza kusababisha matatizo makubwa, ikiwemo mabadiliko mabaya yanayokaribia kuwa saratani (malignant change).
Wagonjwa wote lazima wafuatiliwe kwa muda mrefu ili kuhakikisha kushuka kwa homoni ya ujauzito (HCG) ambayo inaendelea kuonesha uwepo wa ujauzito kupitia mkojo baada ya mimba zabibu kutolewa.
Hali ya mkojo kuendelea kuonesha uwepo wa ujauzito kunaweza kuhitajia kuanzisha matibabu ya saratani (chemotherapy).
Mimba Zabibu hufahamika kama "Hydatidiform mole" ni mimba ambazo mbegu za kiume hurutubisha yai lisilo na vinasaba.
Zungumza nasi, ushauri ni BURE: WhatsApp link occdoctors
Wagonjwa wote lazima wafuatiliwe kwa muda mrefu ili kuhakikisha kushuka kwa homoni ya ujauzito (HCG) ambayo inaendelea kuonesha uwepo wa ujauzito kupitia mkojo baada ya mimba zabibu kutolewa.
Hali ya mkojo kuendelea kuonesha uwepo wa ujauzito kunaweza kuhitajia kuanzisha matibabu ya saratani (chemotherapy).
Mimba Zabibu hufahamika kama "Hydatidiform mole" ni mimba ambazo mbegu za kiume hurutubisha yai lisilo na vinasaba.
Zungumza nasi, ushauri ni BURE: WhatsApp link occdoctors