Fahamu kwanini limbwata huwekwa kwenye papuchi

inasikitisha sana! sasa kwa akina kaka hasa mliooa, jitahidini kuwa waaminifu kwa wake zenu maana mnaweza kwenda huko nje mkidhani ni kuhit na kurun kumbe huyo nyumba ndogo anakufanyia mambo hayo ya uchawi unaishia kuja kutelekeza familia yako...mjue kabisa wanawake wengine hawachezewi jamani...ila kiukweli inatisha na kusikitisha sana..ee Yarabi tunusuru!
 
Na ndoa zao zikoje.....?

Kwa kweli ndoa zao mara nyingi hazidumu kwani huendeshwa na mkwe upande wa mke maana wao ndio hushawishi mabinti zao kuwawekea dawa za kuwashika waume zao.
:faint2:
 
Hapana kulala au kutolala nayo ni uamuzi wake.
Asipotaka kulala nayo huitoa na kuiweka ndani ya kingozi cheusi kilichopakazwa vumbi la kimti cha limbwata kile cha brown.

mmh! we mtundu sana!
 
Duh! nime cheka kweli!! Kweli kuishi kwingi sio kujua mengi, kwa umri wangu nilio nao sikujua kua uchi wa wanamke hauna sehemu maalum (kwamujibu wa mleta UZI) Akisimama PAPUCHI mbele akibong'oa PAPUCHI nyuma akichutama PAPUCHI chini. Hii kali.
 
Ukweli 5% Nimoyo wa mtu tu. Labda kama kugegedwa kafunzwa na mama ye.
Kwa kweli ndoa zao mara nyingi hazidumu kwani huendeshwa na mkwe upande wa mke maana wao ndio hushawishi mabinti zao kuwawekea dawa za kuwashika waume zao.
:faint2:
 
Kubwa % ya wanawake wa fanyao limbwata ni wale wasio jiamini, Labda kesha tendwa Sana kwenye mapenzi na wapinzani wake wa mwanzo hivyoanaona ni bora atumie hiyo dawa. Wengine ni wale walio na wivu wa kijinga, wanaona suruhu ni kutumia limbwata ili mume asitoke nje.
 
.....na ukioa mwanamke Wa Kizigua, piga, ua garagaza...labda akulie kidini la sivyo LIKUD, utalishwa tu.

Mi limbwata haiwezi kunishika, akiniwekea kwenye nyama ya n'gombe badala ya kumpenda yeye nitakuwa napenda sana nyama ya n'gombe!
 
Kwa kweli ndoa zao mara nyingi hazidumu kwani huendeshwa na mkwe upande wa mke maana wao ndio hushawishi mabinti zao kuwawekea dawa za kuwashika waume zao.
:faint2:
Hapo ndoa haiwezi kudumu....kama inaendeshwa na mama mkwe.......hatari kweli...
 
Da dunia inamambo mengi sn na mazito mno!
 

Ni kweli baadhi ya wanawake hawachezewi......nilishawahi kusikia kabila fulani ukimwacha mwanamke anakuendea kwa mganga...matokeo yake mwanaume hasimamishi tena.....yani mtalimbo unalala doro...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…