Fahamu madhara ya kuvaa chupi

Fahamu madhara ya kuvaa chupi

tpaul

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2008
Posts
24,225
Reaction score
22,632
chupi.jpg chupi2.jpg
"Ushauri wangu kwa wanawake na wanaume ni kuacha nafasi kubwa katika maeneo nyeti. Hakikisha suruali na nguo ya ndani vinapata nafasi na wala usibanwe kwa namna yeyote," Kauli ya wataalamu.

Wana MMU, ni mwaka wa 5 sasa tangu niache rasmi kuvaa vazi la chupi. Zoezi hili nililianza taratibu lakini kadri siku zilipokwenda nikaona ni utaratibu wa kawaida.

Zamani nilikuwa nikivaa chupi mchana lakini wakati naenda kulala usiku, nilikuwa nikivua chupi na kuvaa bukta. Lengo langu kubwa lilikuwa kuziacha nyeti zangu ziwe free na kupata fresh air kwani mchana kutwa zilikuwa zikishinda zimebanwa na chupi!

Baadaye nilikuja kusoma makala moja ya Afya iliyodai kwamba kubana nyeti kwa chupi ni hatari kiafya kwa kuwa hupunguza uwezo wa kuperform kitandani--performance kwa maana quality and quantity of sperms produced (sperm count)--kitendo ambacho kinaweza kupelekea mtu kuwa mgumba.

USHAURI
Ushauri wangu kwa wadau wa MMU naomba muige mfano wangu huu kwani umenipa mafanikio makubwa sana. Baada ya kuacha kutinga kyupi perfomance yangu kitandani imeongezeka mara dufu. Hasa akina SHE nawashauri muige mfano huu kwani nyie ndio mnaovaa tamang'eo zinazobana sana hadi papuchi zenu kushindwa 'kupumua'.

Kwa taarifa zaidi, SOMA HAPA

Nawasilisha
 
Wana MMU, ni mwaka wa 5 sasa tangu niache rasmi kuvaa vazi la chupi. Zoezi hili nililianza taratibu lakini kadri siku zilipokwenda nikaona ni utaratibu wa kawaida.

Zamani nilikuwa nikivaa chupi mchana lakini wakati naenda kulala usiku, nilikuwa nikivua chupi na kuvaa bukta. Lengo langu kubwa lilikuwa kuziacha nyeti zangu ziwe free na kupata fresh air kwani mchana kutwa zilikuwa zikishinda zimebanwa na chupi!

Baadaye nilikuja kusoma makala moja ya Afya iliyodai kwamba kubana nyeti kwa chupi ni hatari kiafya kwa kuwa hupunguza uwezo wa kuperform kitandani--performance kwa maana quality and quantity of sperms produced (sperm count)--kitendo ambacho kinaweza kupelekea mtu kuwa mgumba.

USHAURI
Ushauri wangu kwa wadau wa MMU naomba muige mfano wangu huu kwani umenipa mafanikio makubwa sana. Baada ya kuacha kutinga kyupi perfomance yangu kitandani imeongezeka mara dufu. Hasa akina SHE nawashauri muige mfano huu kwani nyie ndio mnaovaa tamang'eo zinazobana sana hadi papuchi zenu kushindwa 'kupumua'.

Nawasilisha

Unatafuta bifu na wafanyabiashara wa hii bidhaa
 
Unatafuta bifu na wafanyabiashara wa hii bidhaa

bidhaa gani tena mkuu? si wabadili biashara waanze kutengeneza bukta? hata watengenezaji wa simu za mkonga walibadili biashara baada ya ujio wa simu za mkononi. umeona eeh?
 
Makala iliitwaje mkuu????
Iliandikwa mwaka gani na nani???!!!

Uhusiano wa kubanwa na hilo tatizo ni upi????!!!

Sio wote wanajua haya mambo kama unavyoweza kudhani, uzi mzuri ila umeubana sana!!!!!
 
bidhaa gani tena mkuu? si wabadili biashara waanze kutengeneza bukta? hata watengenezaji wa simu za mkonga walibadili biashara baada ya ujio wa simu za mkononi. umeona eeh?

Wameshabadili kitambo mbona siku hizi kuna boxer na g-string
 
kubana dushe si tatizo tatizo ni vichupa

usibane korodan maana production ya sperm hucanyika kule
 
Makala iliitwaje mkuu????
Iliandikwa mwaka gani na nani???!!!

Uhusiano wa kubanwa na hilo tatizo ni upi????!!!

Sio wote wanajua haya mambo kama unavyoweza kudhani, uzi mzuri ila umeubana sana!!!!!

hahahahahahahaha mai blaza at his best!
 
hahahahahahahaha mai blaza at his best!

Umeanza sasa! !!!!
Kuna cremasteric reflex hapo kaificha sasa ataulizwa maswali mengi sana lakini angejazia nyama wengi wangenufaika labda!!!!!

Au labda kale ka mbinu ka kubana info ili maswali yakija basi unafungukaaaaaa, watu pipooooo!!!

I miss presentations!!!!
 
Wana MMU, ni mwaka wa 5 sasa tangu niache rasmi kuvaa vazi la chupi. Zoezi hili nililianza taratibu lakini kadri siku zilipokwenda nikaona ni utaratibu wa kawaida.

Zamani nilikuwa nikivaa chupi mchana lakini wakati naenda kulala usiku, nilikuwa nikivua chupi na kuvaa bukta. Lengo langu kubwa lilikuwa kuziacha nyeti zangu ziwe free na kupata fresh air kwani mchana kutwa zilikuwa zikishinda zimebanwa na chupi!

Baadaye nilikuja kusoma makala moja ya Afya iliyodai kwamba kubana nyeti kwa chupi ni hatari kiafya kwa kuwa hupunguza uwezo wa kuperform kitandani--performance kwa maana quality and quantity of sperms produced (sperm count)--kitendo ambacho kinaweza kupelekea mtu kuwa mgumba.

USHAURI
Ushauri wangu kwa wadau wa MMU naomba muige mfano wangu huu kwani umenipa mafanikio makubwa sana. Baada ya kuacha kutinga kyupi perfomance yangu kitandani imeongezeka mara dufu. Hasa akina SHE nawashauri muige mfano huu kwani nyie ndio mnaovaa tamang'eo zinazobana sana hadi papuchi zenu kushindwa 'kupumua'.

Nawasilisha

Hilo neno tamang'eo limenitambulisha we ni mura,hiyo kule kwetu ni kawaida mambo ya pichu tunayajulia huku.
 
Chupi za kubana zinanisev sana..hasa kwenye pilikapilika za daladala
bila chupi inabidi utafute mbinu mpya ya kushindana na vishawish hasa kwa wadada wabinua matiti!!
 
Makala iliitwaje mkuu????
Iliandikwa mwaka gani na nani???!!!

Uhusiano wa kubanwa na hilo tatizo ni upi????!!!

Sio wote wanajua haya mambo kama unavyoweza kudhani, uzi mzuri ila umeubana sana!!!!!

mkuu, makala iliandikwa kwenye gazeti moja la hapa nchini. makala yangu imektwa fupi kwa kuwa nimeiandika kwa kutumia simu ya mchina, ngoja nikiifikia kompyuta ghetto niitafute niianike humu. unajua hasa hawa dada zetu wanaovaa tamang'eo za kubana wanazitesa sana papuchi zao kwa kutozipa mwanya wa kupata hewa safi!
 
Back
Top Bottom