Fahamu mambo ya kuzingatia unapofuga Ng'ombe wa Maziwa

Fahamu mambo ya kuzingatia unapofuga Ng'ombe wa Maziwa

Joined
Jan 23, 2020
Posts
7
Reaction score
19
UNAPOAMUA KUANZA UFUGAJI WA NG'OMBE WA MAZIWA, ZINGATIA VIGEZO VIFUATAVYO KATIKA KUCHAGUA NG'OMBE BORA ATAKAYEKUPA FAIDA KUBWA

1. UMBO : siku zote ngo'mbe wa maziwaQQ anatakiwa awe na umbo la pembe tatu. Awe amepanuka kwa nyuma na kutengeneza umbo kama la pembe tatu.

2. AWE NA TUMBO KUBWA kwa sababu ng'ombe mwenye tumbo kubwa anauwezo wa kula sana na kutunza chakula kingi hivyo sehemu ya chakula kinabadilishwa na kuwa maziwa, ng'ombe mwenye tumbo kubwa anauwezo wa kutoa maziwa mengi sana.

KIWELE NA CHUCHU KUBWA: siku zote ng'ombe mzuri wa maziwa anakuwa na kiwele kizuri kikubwa kilichoshikamana vizuri na mwili. Kiwele kizuri huwa kinabonyea kama spongi.

RANGI YA MWILI: Ng'ombe mzuri wa maziwa huwa ana rangi moja au mbili tu kwenye mwili wake mfano brown, nyeupe, nyeus nki.

Karibu katika makala inayofata tutaanza kuchambua aina za ng'ombe wa maziwa.

Usiache kulike na kushare page yetu ya
KIUNGAY COSS PURE AND QUALTY BREEDS
0744464140

images-4.jpeg
images-1.jpeg
 
Sasa kwa wale wanaonunua ndama wadogo kuna baadhi ya sifa hazionekani mkuu, kama umbile,tumbo na ukubwa wa chuchu. katika mazingira kama hayo tunafanya vipi kugundua
 
Hii thread ingekuwa very useful kama mwalimu mkuu asingekuwa mtoro.
 
Physical appearence
Ng'ombe wa maziwa ni kutoa maziwa tu
 
Kwa wale wanaonunua ndama matunzo ni muhim sana katika kumuandaa ndama wako aje kutoa maziwa mengi hakikisha ndama wako anakua mwenye afya bora kwa kumpatia lishe bora , mazingira safi chanjo za magonjwa ,dawa za minyoo n.k kama anaafya njema mpka anafikia umri atapata joto kwa wakati n mwsho utapata maziwa mengi n mazuri
Sasa kwa wale wanaonunua ndama wadogo kuna baadhi ya sifa hazionekani mkuu, kama umbile,tumbo na ukubwa wa chuchu. katika mazingira kama hayo tunafanya vipi kugundua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nahitaji kununua ngombe wa maziwa Kama unaye tuwasiliane
 
Nimepata huu mtamba hapo kwa million 2
IMG_20200529_175757_8.jpeg
 
Back
Top Bottom