Fahamu namna ya kutengeneza lamba lamba za matunda

Za matunda ni bei moja 300 mpaka 500 natengeneza kwa order malum.
Za ubuyi ukwaju natengeneza kila siku nauza sh mia.
Hizi nso zina mzunguko mkubwa sana na cost yake ni ni rahisi unaweza ni pm nikakuambia kiundani sana
Mkuu samahani.je mfano hua unatumia matunda kias gani kutoa idadi ya ice cream labda kwanzia mia nk?
Je cost ikoje yakutengeneza hizi matunda ukilinganisha na kawaida kama za ubuyu,maziwa nk?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
I'm cm cm x. 1Z 9



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…