Le mutuz kumbe c mwanzilishi?
Wametulia hasa mwenye Mawani :coffee:
Mhh picha tu ushalowa tayari .
huyo ambaye hajavaa miwani ashaitwa sana polisi kujibu mashtaka mara kibao lakin alivumilia mpaka leo jamii forums imekubalika hadi kwa viongozi.
Mwanzo mgumu sana.
Sijawajua leo huyo mwingine alishapelekwa Blog fulani kuchambwa so nilishamuona
Sijawajua leo huyo mwingine alishapelekwa Blog fulani kuchambwa so nilishamuona
Yani ukamchambe Max kwenye blog ya kahaba ina impact gani?
Kwanza wanaume wanaotembelea blog kama U-turn wana matatizo kichwani.
Yani ukamchambe Max kwenye blog ya kahaba ina impact gani?
Kwanza wanaume wanaotembelea blog kama U-turn wana matatizo kichwani.
Hhhhhhaaaaaaaaa kweli kabisaa wana matatizo haswaa
Kuna jamaa mmoja humu yuko addicted sana kule,tena anachangia mada kwelikweli