Fahamu tabia za mwanamke au mwanaume mwenye mchepuko

Fahamu tabia za mwanamke au mwanaume mwenye mchepuko

Ukioa mwanamke wa kabila jingine kubali tu kwamba utapigiwa na jamaa wa kabila lake anao waita Kaka au binamu.
Mfano wewe msukuma uoe mngoni, wakati wangoni ndugu zake huwajui, akikuambia Ni mtoto wa mjomba lazima ukubali kumbe mwala sahani moja. Tena wengine wanatia kambi kwako kabisa, ukienda kazini wanakumbushana lizombe.
Mlio oa wahaya lazima muwe wapole especially wale ambao hawajui karufundi ka nyumbani.
 
Back
Top Bottom