Hakuna anayejali
JF-Expert Member
- Jun 3, 2023
- 418
- 526
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tabia ya mwanamke mwenye mchepuko ni kuwa na “makaka” wa mchongo wasiotokana na familia yao. Wengi wa hao makaka ndio michepuko hata kama utaona wanaitana kaka na dada na shikamoo kama zote.
oooh kumbeTabia ya mwanamke mwenye mchepuko ni kuwa na “makaka” wa mchongo wasiotokana na familia yao. Wengi wa hao makaka ndio michepuko hata kama utaona wanaitana kaka na dada na shikamoo kama zote.
Upo sawa kabisaTabia ya mwanamke mwenye mchepuko ni kuwa na “makaka” wa mchongo wasiotokana na familia yao. Wengi wa hao makaka ndio michepuko hata kama utaona wanaitana kaka na dada na shikamoo kama zote.
Mmmmmmmh!!!Tabia ya mwanamke mwenye mchepuko ni kuwa na “makaka” wa mchongo wasiotokana na familia yao. Wengi wa hao makaka ndio michepuko hata kama utaona wanaitana kaka na dada na shikamoo kama zote.
[emoji23][emoji23][emoji23] Hii ni chumvi sasa kwenye kalenda anaficha nini?Password kila kona hadi kwenye calender
Hiii😄😄Tulia wewe
Kula chumba hikooooh kumbe
Ujawai ona vijimambo wewe, kuna watu hata wakitaka kudondosha simu inadai pasword.[emoji23][emoji23][emoji23] Hii ni chumvi sasa kwenye kalenda anaficha nini?
Chuma hicho si chumba hicho.Kula chumba hiko
🙆MamaaaaMchepuko ni lazima ugundulike au usigundulike