Evans-Arsenal
JF-Expert Member
- Jan 10, 2016
- 868
- 1,385
Hvyo ni baadhi angalia hapo kama hakipo ujue competition sio sana hapo kwa ninavyoona mieVip kuhusi ilula nursing school
Mkuu vipi naona katika guidebook ya mwaka huu Maths D imeweka katika qualification za afya kuanzia certificate.. Wamesema walau d tano including wakaweka na math VP kwa walio na F- mathsHvyo ni baadhi angalia hapo kama hakipo ujue competition sio sana hapo kwa ninavyoona mie
Mkuu vipi naona katika guidebook ya mwaka huu Maths D imeweka katika qualification za afya kuanzia certificate.. Wamesema walau d tano including wakaweka na math VP kwa walio na F- maths
Uko sahihi mkuu vyuo km hvo vipokuna wanafunzi wa nursing two walikuja field hawajui hata kuchoma sindano, kuna vyuo bomu kbs😡😡😡
Biology ina deal na afya 100%Wakuu hakuna hata kachuo ka kiboya naeza soma afya koz yoyote isyolazmisha biology? Sjasoma biology mwenzenu na nahitaj kusoma koz ya afya
1. Kpo karbu na town nje kdogo ya Dsm..Mkuu kibaha cotc inasifa gani za ziada maana Naona vijana wengi wamekiomba
Pamoja MkuuuHapo dogo nakuakikishia 80% unaweza ukapata kabsa ufaulu wako upo vzuri sio kama wengine wana marks za CCD na D zao za Maths na wenyewe wanaweka kibaha sehemu zenye competition kubwa
Haha kachuo ka kiboyaWakuu hakuna hata kachuo ka kiboya naeza soma afya koz yoyote isyolazmisha biology? Sjasoma biology mwenzenu na nahitaj kusoma koz ya afya
Ni BEST COLLEG HAPA TZMkuu kibaha cotc inasifa gani za ziada maana Naona vijana wengi wamekiomba
Vp matokeo haya bios B, chemistry C, physcs B English D, math E Kati ya muhimbili, lugalo, mirembe, kibaha mtu anaweza kuchaguliwa diploma ya nursing?Kwa mtu mweny Phyz D Mathz D Chem C Bios B Englsh B vp possibility yake kupata vyuo katI ya lugalo na kibaha