Ukikosa ajira wewe usiseme watu wote hawana ajira, ukikosa pesa sema wewe hauna pesa usijumuishe watu woteAsubuhi yote hii unaandika Uzi mrefu namna hii kuhusu Ali kiba na diamond... Unemployment magnitude in this country is very high
Nimefuatilia muda mrefu kwenye media na baada ya hapo ndio nimetoa mawazo huruUlijuaje kama na wewe hutumwi?
Nadhani watasoma ushauri wako mkuuMajungu na fitnaa hukaa masikioni kwa muda.....mziki mzuri hudumu.
Hao wote ulowataja plus simba wafanye kazi wafanye music...
Nadhani itawasaidia kuliko hizo porojo za shilawadu
Mapovu umepayuka tu hauna logic ni chuki na ushabiki... waliosema Diamond ni mswahili sikuwaelewa wanamaanisha nini ila jana nimeangalia interview yake nimewaelewa point yaoWakuu heshima kwenu.
Kwanza poleni na majukumu hapa kuna mashabiki die hard wa Diamond ambao nawapa credit zao na wamekua wakimtetea sana . Nitataja wachache na ni watu makini sana
Chige.
Warumi.
Evelyn Salt.
The Bold
Ruttashobolwa.
Faiza Foxy.
Hao ni kwa uchache tu, napenda kuwapa heshima yao kwanza, Iko hivi Ali Kiba amekua akiwatanguliza wenzie mbele kama tai halafu wakijibiwa wanakimbilia kwenye media na sababu kubwa ya hawa watu kwa mfano Wema tunajua ni ex girlfriend wa Diamond hivo kuungana na maadui wa Diamond anahisi anamkomesha , Jokate huyu pia ni ex girlfriend ambaye alifunuliwa na Diamond na anatembea na Kiba ambaye anahisi iko siku atamzidi Diamond, Ummy Dimpoz huyu nisiongee sana yeye ni chambo na ndio maana interview yake ya mwisho kaeleza vitu tofauti na vijembe alivyoelezea interview zilizopita ili aonewe huruma kikubwa cha kukumbuka mwanaume huwezi kulazimisha kumsindikiza mwanaume mwenzio safari ya Marekani na South Africa na safari zote unalazimisha jiulizeni kwa nini ulazimishe wakati hauhusiki? Idriss Sultan huyu ni looser ambaye hua namchukulia kama aliechanganyikiwa na maisha alivamia mji kwa pupa sasa atulie tu ajipange upya au ajiandae kusota maana hana jipya, kuna mtu alikua anajiita Shilole kiuno kwa akili ya haraka mtakumbuka hiyo account kule instagram ilivokua inamchafua Diamond , sasa ilibidi jamaa anaswe kumbuka alivyokamatwa alihojiwa sana na mengi alieleza na waliokua wanamtuma aliwataja na Ali kiba alitajwa , sasa jiulize mwanaume kujiita shilole kiuno upate pozi kidogo.
Tunakuja kwa Ali kiba mwenyewe na kundi zima la wanamuziki ukiunganisha akina Nuru Mziwanda, Baraka Da princess, Najma, na wengine hao wote wakiongozwa na kiba ni wanamuziki wasio na mafanikio kimuziki kiukweli wengine humtukana Diamond kwa kua kawapita kimafanikio kuanzia namna anavyofanya kazi zake na kua current na huo wivu wao wa wazi hautowadaidia kikubwa wajifunze mbinu za kufanikiwa kwani ni aibu umeimba toka mwaka 2000 halafu Tiffa mtoto wa jana anakuzidi pesa kwenye akaunti inauma lakini wavumilie.
Kama wewe ndio mondi kweli umepata brain infection.Tuliźa mzuka piga kazi zako acha pyenge pyenge .Boss ni mimi mwenyewe.
Vipi hata hawa huku nao wanajua kama kuna kazi iliyomalizwa.......???[emoji23] [emoji23] [emoji23] Ommy ambaye ni baba wa kambo wa Diamond ameshamaliza kazi kwenye XXL
Kauli ya Ommy ni tata nilianza kujiuliza maswali mengi???[emoji23] [emoji23] [emoji23] Ommy ambaye ni baba wa kambo wa Diamond ameshamaliza kazi kwenye XXL
we una mafanikio gani adi unadiscuss watu huyo tiffah unaemsema anakuzid ataa we helaa sasaa POVU la nn....?? usiwe WEAK MIND kwa kujadili maishaa ya watu bhanaa tengeneza lyf lako wakutangaze..!!Wakuu heshima kwenu.
Kwanza poleni na majukumu hapa kuna mashabiki die hard wa Diamond ambao nawapa credit zao na wamekua wakimtetea sana . Nitataja wachache na ni watu makini sana
Chige.
Warumi.
Evelyn Salt.
The Bold
Ruttashobolwa.
Faiza Foxy.
Hao ni kwa uchache tu, napenda kuwapa heshima yao kwanza, Iko hivi Ali Kiba amekua akiwatanguliza wenzie mbele kama tai halafu wakijibiwa wanakimbilia kwenye media na sababu kubwa ya hawa watu kwa mfano Wema tunajua ni ex girlfriend wa Diamond hivo kuungana na maadui wa Diamond anahisi anamkomesha , Jokate huyu pia ni ex girlfriend ambaye alifunuliwa na Diamond na anatembea na Kiba ambaye anahisi iko siku atamzidi Diamond, Ummy Dimpoz huyu nisiongee sana yeye ni chambo na ndio maana interview yake ya mwisho kaeleza vitu tofauti na vijembe alivyoelezea interview zilizopita ili aonewe huruma kikubwa cha kukumbuka mwanaume huwezi kulazimisha kumsindikiza mwanaume mwenzio safari ya Marekani na South Africa na safari zote unalazimisha jiulizeni kwa nini ulazimishe wakati hauhusiki? Idriss Sultan huyu ni looser ambaye hua namchukulia kama aliechanganyikiwa na maisha alivamia mji kwa pupa sasa atulie tu ajipange upya au ajiandae kusota maana hana jipya, kuna mtu alikua anajiita Shilole kiuno kwa akili ya haraka mtakumbuka hiyo account kule instagram ilivokua inamchafua Diamond , sasa ilibidi jamaa anaswe kumbuka alivyokamatwa alihojiwa sana na mengi alieleza na waliokua wanamtuma aliwataja na Ali kiba alitajwa , sasa jiulize mwanaume kujiita shilole kiuno upate pozi kidogo.
Tunakuja kwa Ali kiba mwenyewe na kundi zima la wanamuziki ukiunganisha akina Nuru Mziwanda, Baraka Da princess, Najma, na wengine hao wote wakiongozwa na kiba ni wanamuziki wasio na mafanikio kimuziki kiukweli wengine humtukana Diamond kwa kua kawapita kimafanikio kuanzia namna anavyofanya kazi zake na kua current na huo wivu wao wa wazi hautowadaidia kikubwa wajifunze mbinu za kufanikiwa kwani ni aibu umeimba toka mwaka 2000 halafu Tiffa mtoto wa jana anakuzidi pesa kwenye akaunti inauma lakini wavumilie.
Mkuu ukipopolewa na mondii sisi hatumo[emoji23] [emoji23] [emoji23] Ommy ambaye ni baba wa kambo wa Diamond ameshamaliza kazi kwenye XXL
PointDah, vijana tunaelekea wapi? Yaani hata kama umeajiriwa na hizi timu kuja kumtetea mtu humu na ukaacha kazi zako muhimu, hizo ni dalili za kukosa kazi na zinatia shaka kama mleta huu uzi ni mwanaume. Hivi ushawahi kukerwa kiasi gani na matatizo ya familia yako au ukoo wenu kupita matatizo ya umaarufu wa Mondi na Kiba?. Tubadilike jamani mbona mambo ya kijamii ni Mengi sana si bora hata ukajitolee kufanya kazi ya usafi ktk hospital kuliko kutumia muda mwingi kutetea watu ambao tayari hizo beef zinawapa maisha.
Kibaya zaidi mama hajakanusha kapiga kimyaa kwamba anapenda vijana [emoji3] [emoji3] maana yule mama kwa kulipuka wee aah hajambo, utadhani wasanii woote hawajazaliwa na mama except DiamondEti mama mwenyewe anapenda vijana.....[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Eti huyo anae sema anapumuliwa kisogoni, ndio anakutana nae asubuhi akitoka chumbani kwa mama yake huku akiwa amefunga kitaulo......[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Jamaa wa shilawadu wakasema, what.....[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
Na wewe umeacha kwani? Nasikia umejipaka mavi kwa ajili ya kupangiwa zamu ya umbeaUmmy hatujui dem wke na hata marafiki hawajui shem wao,ila wanajua bwana yke aliempangia nyumba.hata ajiteteee vipi dalili zote za kupumuliwa anazo
Hivi haya ni Mawazo huru au Mawazo chonganishi? Umekuja kuwachonganisha watu jf kwa kuwataja na majina huku wewe ukijiita mwana Mawazo huru [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] uso umeumbwa na haya lazima uone aibu kuwachonganisha watu nilidhani ungekuja na maoni ya kuleta amani kumbe umeleta shutumaNimefuatilia muda mrefu kwenye media na baada ya hapo ndio nimetoa mawazo huru