Fahamu watu wanaotumwa na Ali Kiba kumshambulia Diamond

Eti Kiba Anawatuma Watu Wamtukane Domo! We Ndo Umetumwa na domo wako.
 
Ummy hatujui dem wke na hata marafiki hawajui shem wao,ila wanajua bwana yke aliempangia nyumba.hata ajiteteee vipi dalili zote za kupumuliwa anazo
Mkuu una uhakika na unacho kisema? au umeamua kufurahisha genge?

Kutumia mda wako mwingi kuwaza kutumia kichwa cha chini nalo ni tatizo!

Watu wengi wanao jikinga kwa kutanguliza kwa kumwita mwanaume mwenzie ana pumuliwa ukimchunguza kwa umakini utakuta na wale wale wanapigwa madole

Mbona husungumzii kuhusu diamond kumgonga mama yake?
 
Kibaya zaidi mama hajakanusha kapiga kimyaa kwamba anapenda vijana [emoji3] [emoji3] maana yule mama kwa kulipuka wee aah hajambo, utadhani wasanii woote hawajazaliwa na mama except Diamond
Hicho kimya cha mama D, ndio kime tufanya sisi tupigie mstari maneno yalio semwa na Omari Nyembo
 
Jambazi yeye kajitetea kua anaweza kua baba chibu ila hilo sio swala la msingi,hizi ni tetesi za muda humu jf istoshe hata kma ni uwongo angekaa kimya tu

Sent from my SM-G7102 using JamiiForums mobile app
 
Kauli ya Ommy ni tata nilianza kujiuliza maswali mengi???

LA kwanza.!? Ina maana Ommy anakula pale?!?
[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] natamani ningetumia hiyo avatar yako Ku comment ndiyo ningeeleweka
 
AY pekee ndiye msanii mwenye mafanikio makubwa sana hapa EAST AFRICA
 
Hizi habari za diamond na kiba naomba rais magufuri azikemee....zinachosha
 
Huyo jamaa wadau waliosema ndio wamjua istoshe hili jambo limesemwa muda sana mbna wasiseme kiba,ney,barnaba waseme yeye

Sent from my SM-G7102 using JamiiForums mobile app
Mim nilifikiri wew una ushahidi wa kutosha kumbe ni story za vijiweni, huna ushahidi ukibanwa kwenye kona na mahakama utaanza kusema unaonewa!
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Ommy ambaye ni baba wa kambo wa Diamond ameshamaliza kazi kwenye XXL
Sasa kama Diamond kamwachia Huyo Dimpoz Wema akabaki kumchekelea tu na kumwonesha Dimpoz, huo ubaba ni wa kuonesha Dimpoz ??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…