BLACK MARXIST
JF-Expert Member
- Nov 1, 2013
- 2,458
- 5,352
Nani mjinga hapa?Tumia akili, usiwe mjinga.
Jifunze, elewa ndio ukosoe. Tatizo lenu wajuaji wa JF huwa mnakimbilia kukosoa kabla hata ya kuelewa. Ni ujinga!
Sent using Jamii Forums mobile app
Utapeli wake uko wapi?
Ana mwaka wa tatu akiendesha mradi wake kwa mfumo huohuo, je ana rekodi ya kumtapeli mtu yeyote?
Uwekezaji ni lazika uwe wa kampuni za soda, beer au na bank? Kwamba uwezekaji kwenye ufugaji sio sahihi?
Je, kampuni kubwa ambazo watu wanawekeza huwa hazifilisiki?
Huyu bwana angehukumiwa kwa matumizi ya pesa za wawekezaji na sio kuweka general comments kwamba ni tapeli bila kueleza utapeli wake. Mbona hii mifumo inafanyika hata kwenye vikundi vyetu (formal na informal). Tunachangishana pesa na kuwekeza kwenye kilimo na miradi mingine kisha tunagawana faida.
Je, pesa anayokusanya anaiwekeza kwenye miradi inayohusiana na kuku au hakuna biashara yoyote ya Kuku na anafanya PONZI SCHEME?
Huyu bwana hayuko Ulaya, yuko Kigamboni na ana ofisi plus mashamba ya kuku, YENYE KUKU. Kabla hujaharibu biashara na miradi ya watu mtandaoni uende kwaza ukajiridhishe. GNLD na FOREVER LIVING nao walitukanwa sana kwamba wanafanya utapeli lakini mpaka leo wapo wanapiga mzigo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ule ndio ulikuwa uzi wake wa kwanza kabisa humu na ulikuwa mkakati maalumu kuwakamata majuha.. teh teh tehHahah tangu aseme alikodisha sijui tractor kwa siku 30 na akapata mil 30 kama faida nilijua tu huyu ni tapeli per se.
Ila kuna siku huyu jamaa haya mambo yatakuja kumkalia hovyo watampa kesi za utakatishaji.
Kwa kifupi ni mshkaji nimesoma nae high school.. Wazazi wake wanaishi makonde chini na mimi naishi Africana karibia na whitesands, hapo kwa wazee wake nishafika sana. Ni mwendo wa dakika 15 tu kwa mguu kutoka ninapoishiNi jamaa yako mwenye nyumba yao.
Sio uzi wake wa kwanza narekebisha.Ule ndio ulikuwa uzi wake wa kwanza kabisa humu na ulikuwa mkakati maalumu kuwakamata majuha.. teh teh teh
Ule uzi hata mimi nilitilia mashaka, nikawaza sasa kama ni hivyo wenye matrekta wanakwama wapi kuwa mabilionea..
Kwa kifupi ni mshkaji nimesoma nae high school.. Wazazi wake wanaishi makonde chini na mimi naishi Africana karibia na whitesands, hapo kwa wazee wake nishafika sana. Ni mwendo wa dakika 15 tu kwa mguu kutoka ninapoishi
Mkuu. Ukikaza unaweza shika zaidi ya hizo 200m kwa hiyo miaka 4Nyingi sana hizo.Mm bado sina uhakika wa kukamata 200m hata baada ya miaka mi 4 toka sasa.
Honestly
Ni nyumba ya Ontario mkuuTunaweza tulahakikishaje jamaayako ni nyumba yao pia??
Ni kweli, ni uzi wake wa 73Sio uzi wake wa kwanza narekebisha.
Unaushahidi gani ni ya Ontario?Ni nyumba ya Ontario mkuu
Kwanini sio wa 21??Ni kweli, ni uzi wake wa 73
Ni ya mama yako mkuuUnaushahidi gani ni ya Ontario?
Hako kajamaa achana nako ni kabishi balaa afu hamna kitu kichwaniNi nyumba ya Ontario mkuu
Mkuu achana na huyo fala, nashangaa hujashtuka tu. Anaweza kuwa Ontario mwenyewe au Mr.Kuku au ni fala mmoja aliyepigwa mtaji wake kifala Sasa bado ana hasira.Ni ya mama yako mkuu
Umeulizwa wewe ,au na wewe kimbele front kinakusumbua,that was just a question na wewe kwa ugumu wako wa kuelewa ukaongeza swaliIlikua inahitaji unabii wowote ule kuona kwamba mr. Kuku ni project ya kitapeli?
.Umeulizwa wewe ,au na wewe kimbele front kinakusumbua,that was just a question na wewe kwa ugumu wako wa kuelewa ukaongeza swali
Hahahah imeisha hio.Ni ya mama yako mkuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu mimi ni Mrkuku.Mkuu achana na huyo fala, nashangaa hujashtuka tu. Anaweza kuwa Ontario mwenyewe au Mr.Kuku au ni fala mmoja aliyepigwa mtaji wake kifala Sasa bado ana hasira.