Fahamu zaidi kuhusu Mr Kuku

Mkuu kama hujaelewa mie sina wajibu wa kukuelewesha hapo.. Lugha za kitapeli ziko smart sana ili likibumburuka basi apate loophole ya utetezi. Sasa huo utetezi ndio huu hapa wako teh teh teh

Unamjua kwa karibu sana au sio mazee..
Ufinyu wako wa akili tu huo

Hebu taja mtu mmoja tu unae mjua ww alie tapeliwa na Ontario.. mmoja tu
 
Ambacho hujaelewa ni kipi, amesema watu waweke malengo 2020, akasema alijiapiza 2019 lazima awajengee wazazi wake nyumba ya kisasa ambayo ndo hiyo hapo pichani.
Huo ni uzi bro bado kuna maelezo yanaendelea huko chini
 
Mimi ni Ontario???
 
Ufinyu wako wa akili tu huo

Hebu taja mtu mmoja tu unae mjua ww alie tapeliwa na Ontario.. mmoja tu
Teh teh teh nasikia umepewa laki moja huko Twitter... πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Nacheka kama mazurii
 
wapi alisema ana mijengo kibao? hata kama anayo, nani kasema haruhusiwi kupanga?
 
Kamtapeli nani??
 
Teh teh teh nasikia umepewa laki moja huko Twitter... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nacheka kama mazurii
Taja mtu mmoja tu unae mjua ww alie tapeliwa, mmoja tu

Yes, nimeshinda laki 1, kuna tatizo?
 
Taja mtu mmoja tu unae mjua ww alie tapeliwa, mmoja tu

Yes, nimeshinda laki 1, kuna tatizo?
Sina huo muda wa kukutajia, humu nyuzi za watu wakilalamika huo usanii wa dogo zipo..

Mimi sijazungukwa na watu wajinga watapeliwe na katoto ka 94 kalikodisco pale UDSM..

Bila ya kuhamisha mjadala, kwanini aweke nyumba za watu aseme kawajengea wazazi wake?? Na kwanini mwenye nyumba alivyomuomba aitoe hiyo picha alimblock na si kumwelewesha nia yake??

Hiyo laki bado haijaisha πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Nyumba ni ya nani, unaweza tuwekea hati ?
 
Chuki zako ni bure, kujifariji kusikokua na maana, hakuna mtu yeyote aliewah tapeliwa na Ontario

watu wanapigana watoke Kwenye umasikini ww unapigana vita ambayo hata mhusika hayupo, acheni maneno ya kulishana na kusambaza ujinga, hakuna mtu yeyote yule aliewah tapeliwa na Ontario.. tutafute pesa, huu ujinga na mawazo ya kamasikini havisaidii kitu
 
Boy umekula kilomoja niachie 10K tu mwanao.
 
Suala la nyumba huliongelei au sio πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Tangia 2016 kawatoa wangapi kwenye umaskini?? Mbona walirudi humu wakiwa wanalia lia. Sasahivi mmehamia Twitter hehehe
 
Huo ni uzi bro bado kuna maelezo yanaendelea huko chini

Sijaona ile Read more, kwahyo imeishia hapo hapo, so tunaelewa alimaanisha hiyo nyumba ndo kawajengea wazazi wake, hiyo ni moja.

Pili, kama angekuwa ametoa maelezo zaidi na akaeleweka kwamba hiyo nyumba kaitolea mfano tu, yule jomba asingemwomba aifute hiyo picha, hiyo ni mbili.

Tatu, kama unadai huo ni uzi kuna maelezo zaidi, lete screenshot tuone huo uzi unavyoendelea ili tuhakiki kama usemayo ni kweli, hiyo ni tatu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…