JUKWE Member Joined Oct 4, 2011 Posts 20 Reaction score 6 Dec 18, 2014 #1 Wadau mi ni mteja wa crdb kila nikipita naona mawakala wa fahari huduma,ila sijawahi kupata huduma yoyote kwa kupitia hao mawakala wa crdb,naomba uzoefu wenu kama kuna mtu alipata huduma kupitia hao mawakala kuhusu safety ya kubank kupitia kwao.
Wadau mi ni mteja wa crdb kila nikipita naona mawakala wa fahari huduma,ila sijawahi kupata huduma yoyote kwa kupitia hao mawakala wa crdb,naomba uzoefu wenu kama kuna mtu alipata huduma kupitia hao mawakala kuhusu safety ya kubank kupitia kwao.