i can prove it,i have had sex na mwanadada mmoja(dem wangu) kipindi flani miaka hiyo na kabla ya ku do alikuwa analalamika anaumwa malaria uchovu na siku hiyo alianza doze ya malaria siku hiyo na nilienda kwa ajili oya kumcompany,so baada ya muda tukaanza majambozi kiutani lakini kama alikuwa hataki vile,lakini mzigo ulipokolea akanogewa baada ya majambozi kwisha mtu alichangamka huyo wakati hata kitandani alikuwa hataki kutoka mpaka maji ya kunywa na mnywesha..Kesho yake akaamka poa na kwenda job bila wasi