Faida 21 za maziwa na karafuu

Faida 21 za maziwa na karafuu

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
1652499928050.png


FAIDA 21 YA MAZIWA NA KARAFUU

Kikombe cha maziwa iliochanganywa na kijiko kimoja cha chai cha karafuu iliosagwa husaidia:-

1) Utasa au Ugumba
2)Udhaifu wa tendo la jimai
3)Udhaaifu wa moyo,tumbo,maini na figo
4)Udhaifu wa utenda kazi wa moyo na viungo
5)Maumivu ya viungo vya mwili(joint pain)
6)Pumu,makohozi,kukohoa na kuziba pua
7)Kiteku au kwikwi
8)Udhaifu wa tumbo kusaga chakula(indigestion)
9)Kusahau kwingi na msongo wa mawazo au kutojielewa
10)Tatizo la gesi tumboni
11)Udhaifu wa misuli ya kibofu cha mikojo na kutokwa na mikojo bila kutarajia
12)Udhaifu wa meno na fizi
13)Mwili kua na unyonge(kukosa nguvu)
14)Udhaifu wa macho na kuona
15)Maambukizi ya ngozi na kuumwa na wadudu
16)Husaidia kutengeneza viwango vya sukari kwenye damu(blood sugar levels)
17)Mafua na homa
18)Vidonda vya koo na tonsillitis
19)Huzuia magonjwa ya kensa(cancer)
20Hamu,matatizo ya kiakili na mawazo
21)Ugonjwa wa bawasili na magonjwa mengine ya uvimbe mwilini.

Itumie mara 2 au tatu kwa wiki.#wakati bora wa kuitumia ni asubuhi tumbo likiwa na njaa
Ndio maana mtume swallahu aleihi wassallam alitusisitiza sana tutumie maziwa.

*** Utafiti umefanywa na jopo la ma ulamaa wa Tiba za kisunna nchini Malaysia.

Allah awape wagonjwa wote shifaa. Amiin
 
View attachment 2223735

FAIDA 21 YA MAZIWA NA KARAFUU

Kikombe cha maziwa iliochanganywa na kijiko kimoja cha chai cha karafuu iliosagwa husaidia:-

1) Utasa au Ugumba
2)Udhaifu wa tendo la jimai
3)Udhaaifu wa moyo,tumbo,maini na figo
4)Udhaifu wa utenda kazi wa moyo na viungo
5)Maumivu ya viungo vya mwili(joint pain)
6)Pumu,makohozi,kukohoa na kuziba pua
7)Kiteku au kwikwi
8)Udhaifu wa tumbo kusaga chakula(indigestion)
9)Kusahau kwingi na msongo wa mawazo au kutojielewa
10)Tatizo la gesi tumboni
11)Udhaifu wa misuli ya kibofu cha mikojo na kutokwa na mikojo bila kutarajia
12)Udhaifu wa meno na fizi
13)Mwili kua na unyonge(kukosa nguvu)
14)Udhaifu wa macho na kuona
15)Maambukizi ya ngozi na kuumwa na wadudu
16)Husaidia kutengeneza viwango vya sukari kwenye damu(blood sugar levels)
17)Mafua na homa
18)Vidonda vya koo na tonsillitis
19)Huzuia magonjwa ya kensa(cancer)
20Hamu,matatizo ya kiakili na mawazo
21)Ugonjwa wa bawasili na magonjwa mengine ya uvimbe mwilini.

Itumie mara 2 au tatu kwa wiki.#wakati bora wa kuitumia ni asubuhi tumbo likiwa na njaa
Ndio maana mtume swallahu aleihi wassallam alitusisitiza sana tutumie maziwa.

*** Utafiti umefanywa na jopo la ma ulamaa wa Tiba za kisunna nchini Malaysia.

Allah awape wagonjwa wote shifaa. Amiin
wametumia sampo gani katika tafiti zao?

sitaki kuwaamini sana hao maulamaa magonjwa kama ugumba / utasa , kansa na mengineyo hapo uliyo ainisha ni magonjwa ambayo wazungu na hata sisi ngozi nyeusi tumekuwa tunakesha tukiomba dawa ipatikane

leo hii watuambie maziwa na karafuu ni dawa ya hayo magonjwa?
 
Maswali Yote Kuhusu Uthibitisho Na Ubora Wa Hiyo Kitu Apo Niulizeni Mimi Al Habib Radh Waukana Tambara, Mfano Kwa Mwanaume Itafanya Dhakar Yako Kuwa Mujaaarab Na Kukupa Nguvu Za Baru Baru Yallah! Yallah!, Astaghfirullah! [emoji41]
 
View attachment 2223735

FAIDA 21 YA MAZIWA NA KARAFUU

Kikombe cha maziwa iliochanganywa na kijiko kimoja cha chai cha karafuu iliosagwa husaidia:-

1) Utasa au Ugumba
2)Udhaifu wa tendo la jimai
3)Udhaaifu wa moyo,tumbo,maini na figo
4)Udhaifu wa utenda kazi wa moyo na viungo
5)Maumivu ya viungo vya mwili(joint pain)
6)Pumu,makohozi,kukohoa na kuziba pua
7)Kiteku au kwikwi
8)Udhaifu wa tumbo kusaga chakula(indigestion)
9)Kusahau kwingi na msongo wa mawazo au kutojielewa
10)Tatizo la gesi tumboni
11)Udhaifu wa misuli ya kibofu cha mikojo na kutokwa na mikojo bila kutarajia
12)Udhaifu wa meno na fizi
13)Mwili kua na unyonge(kukosa nguvu)
14)Udhaifu wa macho na kuona
15)Maambukizi ya ngozi na kuumwa na wadudu
16)Husaidia kutengeneza viwango vya sukari kwenye damu(blood sugar levels)
17)Mafua na homa
18)Vidonda vya koo na tonsillitis
19)Huzuia magonjwa ya kensa(cancer)
20Hamu,matatizo ya kiakili na mawazo
21)Ugonjwa wa bawasili na magonjwa mengine ya uvimbe mwilini.

Itumie mara 2 au tatu kwa wiki.#wakati bora wa kuitumia ni asubuhi tumbo likiwa na njaa
Ndio maana mtume swallahu aleihi wassallam alitusisitiza sana tutumie maziwa.

*** Utafiti umefanywa na jopo la ma ulamaa wa Tiba za kisunna nchini Malaysia.

Allah awape wagonjwa wote shifaa. Amiin
hajat karafuu iliyosagwa naipata wapi. huku kwetu tarime haipo
 
wametumia sampo gani katika tafiti zao?

sitaki kuwaamini sana hao maulamaa magonjwa kama ugumba / utasa , kansa na mengineyo hapo uliyo ainisha ni magonjwa ambayo wazungu na hata sisi ngozi nyeusi tumekuwa tunakesha tukiomba dawa ipatikane

leo hii watuambie maziwa na karafuu ni dawa ya hayo magonjwa?
Wrong way! Siongelei hayo maziwa na karafuu ila mtazamo wako sio sahihi!

Kuna mdada ni mtoto wa shangazi yeye alipata kansa chini ya unyayo wa mguu, kadiri ilivyokuwa inapanda na mguu ulikuwa mweusi na unatoa majimaji yenye harufu mbaya sana. Hsp ya benjamin wakasema mguu ukatwe ili isiendelee kupanda. Akakataa na kwenda agha khan, nao waliposhindwa wakashauri waukate' wakati huo imeshakaribia gotini napo hajakubali!

Hata mi nilijua kabisa sasa itamuua lakini mpaka sasa ule mguu uliokuwa kama gogo jeusi uliokuwa ukitoa majimaji yenye harufu haivumiliki! Umenywea na amepona kbs anatembea japo umekuwa mwembamba kdg' usiseme ugonjwa hauna dawa utakufa!

Dawa inaweza kuwa sio sahihi kwako lakini kwa mwingine ikamponya ugonjwa huohuo.
Usilemazwe na wazungu, asia kuna madawa, arab, china hata afrika tena inaweza tibu tatizo ĺililoshindikana kwa dawa za kizungu"
 
View attachment 2223735

FAIDA 21 YA MAZIWA NA KARAFUU

Kikombe cha maziwa iliochanganywa na kijiko kimoja cha chai cha karafuu iliosagwa husaidia:-

1) Utasa au Ugumba
2)Udhaifu wa tendo la jimai
3)Udhaaifu wa moyo,tumbo,maini na figo
4)Udhaifu wa utenda kazi wa moyo na viungo
5)Maumivu ya viungo vya mwili(joint pain)
6)Pumu,makohozi,kukohoa na kuziba pua
7)Kiteku au kwikwi
8)Udhaifu wa tumbo kusaga chakula(indigestion)
9)Kusahau kwingi na msongo wa mawazo au kutojielewa
10)Tatizo la gesi tumboni
11)Udhaifu wa misuli ya kibofu cha mikojo na kutokwa na mikojo bila kutarajia
12)Udhaifu wa meno na fizi
13)Mwili kua na unyonge(kukosa nguvu)
14)Udhaifu wa macho na kuona
15)Maambukizi ya ngozi na kuumwa na wadudu
16)Husaidia kutengeneza viwango vya sukari kwenye damu(blood sugar levels)
17)Mafua na homa
18)Vidonda vya koo na tonsillitis
19)Huzuia magonjwa ya kensa(cancer)
20Hamu,matatizo ya kiakili na mawazo
21)Ugonjwa wa bawasili na magonjwa mengine ya uvimbe mwilini.

Itumie mara 2 au tatu kwa wiki.#wakati bora wa kuitumia ni asubuhi tumbo likiwa na njaa
Ndio maana mtume swallahu aleihi wassallam alitusisitiza sana tutumie maziwa.

*** Utafiti umefanywa na jopo la ma ulamaa wa Tiba za kisunna nchini Malaysia.

Allah awape wagonjwa wote shifaa. Amiin
Mashaa-Allah
 
wametumia sampo gani katika tafiti zao?

sitaki kuwaamini sana hao maulamaa magonjwa kama ugumba / utasa , kansa na mengineyo hapo uliyo ainisha ni magonjwa ambayo wazungu na hata sisi ngozi nyeusi tumekuwa tunakesha tukiomba dawa ipatikane

leo hii watuambie maziwa na karafuu ni dawa ya hayo magonjwa?
Tiba ya wazungu kwa bawasili ni upasuaji,wakati wanyamwezi wanakupaka tu dawa chini ya mwezi fresh
 
Wrong way! Siongelei hayo maziwa na karafuu ila mtazamo wako sio sahihi!

Kuna mdada ni mtoto wa shangazi yeye alipata kansa chini ya unyayo wa mguu, kadiri ilivyokuwa inapanda na mguu ulikuwa mweusi na unatoa majimaji yenye harufu mbaya sana. Hsp ya benjamin wakasema mguu ukatwe ili isiendelee kupanda. Akakataa na kwenda agha khan, nao waliposhindwa wakashauri waukate' wakati huo imeshakaribia gotini napo hajakubali!

Hata mi nilijua kabisa sasa itamuua lakini mpaka sasa ule mguu uliokuwa kama gogo jeusi uliokuwa ukitoa majimaji yenye harufu haivumiliki! Umenywea na amepona kbs anatembea japo umekuwa mwembamba kdg' usiseme ugonjwa hauna dawa utakufa!

Dawa inaweza kuwa sio sahihi kwako lakini kwa mwingine ikamponya ugonjwa huohuo.
Usilemazwe na wazungu, asia kuna madawa, arab, china hata afrika tena inaweza tibu tatizo ĺililoshindikana kwa dawa za kizungu"
Huyu ndugu yako alitumia gani? Unaweza kuwafaa wengi kwa kutufahamisha ndugu yangu.
 
Wrong way! Siongelei hayo maziwa na karafuu ila mtazamo wako sio sahihi!

Kuna mdada ni mtoto wa shangazi yeye alipata kansa chini ya unyayo wa mguu, kadiri ilivyokuwa inapanda na mguu ulikuwa mweusi na unatoa majimaji yenye harufu mbaya sana. Hsp ya benjamin wakasema mguu ukatwe ili isiendelee kupanda. Akakataa na kwenda agha khan, nao waliposhindwa wakashauri waukate' wakati huo imeshakaribia gotini napo hajakubali!

Hata mi nilijua kabisa sasa itamuua lakini mpaka sasa ule mguu uliokuwa kama gogo jeusi uliokuwa ukitoa majimaji yenye harufu haivumiliki! Umenywea na amepona kbs anatembea japo umekuwa mwembamba kdg' usiseme ugonjwa hauna dawa utakufa!

Dawa inaweza kuwa sio sahihi kwako lakini kwa mwingine ikamponya ugonjwa huohuo.
Usilemazwe na wazungu, asia kuna madawa, arab, china hata afrika tena inaweza tibu tatizo ĺililoshindikana kwa dawa za kizungu"
Unachosema ni sahihi, watu wanapona kwa kutumia vyakula na mimea, kuna mzee alipona kisukari sugu kwa kutumia diet pekee.
 
Back
Top Bottom