Faida 6 za kuishi maisha ya ukapera

kwani leo tarehe ngapi maana waongo wanaumbuka wakina shigongo....
 




Baba naomba ufikirie tena kwani mwenzio nina experience zote na leo najuta kwa nini nilimuacha Nyamvula wangu......
 
Lakini, kama faida ni nyingi hivyo, mbona watu hawakimbilii kuishi ukapela badala yake wengi wanatafuta wenza wa kuishi nao?
Nadhani kuwa na mwenza ni more beneficial than that loneliness.
 
Baba naomba ufikirie tena kwani mwenzio nina experience zote na leo najuta kwa nini nilimuacha Nyamvula wangu......

ha..ha kumbe wewe ulimwacha sasa kama unajuta labda ndiye huyo mungu aliyekupangia

ikumbukwe kuwa hapa m2 anakua kapera kwa hiyari sio lazima


pia kuwa na mwenza wako kuna faida zake

hakuna ki2 chenye faida kisichokua na hasara. ok kuoa kuna faida na hasara zake pia kuwa kapera kuna faida na hasara zake
 




Hata ingekuwa wewe ungemwacha tu,maana ilikuwa ikifika Jumamosi tu anakuambia hatoki mtu chumbani,wala sebuleni huruhusiwi kufika anakuambia wiki nzima uko kazini na weekend ni zamu yangu tutatoka J2 tu kwenda kanisani na ukirudi ndani mpaka J3 na ukitaka kutoka labda damu imwagike kwanza humu chumbani.
 
Reactions: LD
SD mbona umenisemea maneno yangu bana hebu nirudishie niseme mwenyewe!!!!!!!!!!!!!!!!

ha hahaaaaaa uwiiiiiiiiiii mbavu zangu mie da Dena!!!

kuvuja kwa pakacha, nafuu ya mchukuzi hili ndilo langu neno!!
 
Mdogo wangu wee.. Hebu tulia. Miaka 23 tu unaanza kuwaza ukapera? Eti kisa umeumizwa mara mbili tatu? Subiri ufikishe 30 ndio utajua kama unataka ukapera ama la. Wakati huo hao marafiki unaojirusha nao wote wameshaolewa wametulia na familia zao. We unadhani kwanini hakuna gari la kifahari lenye siti moja tu? Tafakari.
 
Mnaona sasa wake za watu mlivyo kero mpaka watu wanawaona kero. Jirekebisheni jamani.
Maisha ya wanaume yamekuwa mafupi sana kwa sababu ya hizi ndoa. Raha 2% kero 98%

 

Pata picha ungekua kapera hayo yote yangekukutia wapi inamaana uliona ni bora kuachana naye na kuishi peke yako sivyo??

Nasema ni kero kuishi na m2 wajinsia nyingine una kuwa huna uhuru kila ki2 lazima umshirikishe msumbufu m2pu ni bora ukazaa watoto wako wawili wawe wanakufariji ndani ya nyumba wakat ukihisi upweke
 
Ni sawa lakini vipi ukigonjeka?hata wa kukutake care anakuwa hayupo.au utarudi kwa maza?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…