Faida 6 za kuishi maisha ya ukapera

Mie naona kama mchezo umezidi vile waonaje wewe???? Tuwekane sawa

inatia kinyaa kama sio kukera maana watu wanapoteza muda wao kutoa maushauri kumbe Shigongo kazini,ila nasie wengine tunafaidikaga humohumo kwa mauongo yao:lol:
 
Mie naona kama mchezo umezidi vile waonaje wewe???? Tuwekane sawa

inakera sana. Watu mpaka jasho la kwapa linatutoka kwa kufikiria ushauri wa kutoa kumbe mwenzetu yupo kwenye mazoezi ya kiduku. Khaa!
 

Mhh!mi naona huko ni kujidanganya mana unahitaji mtu wa jinsia nyingine ili upate hao watoto wawili..au mwenzangu una jinsi nyingine ya kupata watoto..tujuzane basi.

Kushirikisha mtu napo ni jambo la maana linasaidia pia kukufanya uweze kuishi na watu kwenye jamii sasa ukiwa peke yako si utakuwa selfish mpendwa?hebu fikiria tena.

hasara nyingine utakuw ana mihasira hasira tuuu isiyo na maana utakera kila mtu mpaka marafiki watakukimbia..ohoo kalagabaho
 
Faida??? Hapo kama ni biashara unafanya bonge ya loss umepata
 
Mmmmmhhhh hekima kama inatoweka vileeeeee




Naendelea kujiuliza




Naendelea kujiuliza.............




Jamani waheshimiwa sana asanteni NAWASILISHA



tehtehteh DA kiboko.sikuwezi...
mi nilijua tu kuna walakini hapa:lol:
 
Dena,shosti, na husuniyo kwani mumeombwa muchangieee? Kaeni kimya na muache kiherehere. alaa? Kama nyie munaona hampati faida na thread zangu wako wanaopata faida. Acheni umbeyayaya!
 
Dena,shosti, na husuniyo kwani mumeombwa muchangieee? Kaeni kimya na muache kiherehere. alaa? Kama nyie munaona hampati faida na thread zangu wako wanaopata faida. Acheni umbeyayaya!


Pole sana N4G hizo ni computer tu mama acha hasira huwajui hawakujui unachukia nini?? Endelea kuleta mambo sie twayapenda
 
Pole sana N4G hizo ni computer tu mama acha hasira huwajui hawakujui unachukia nini?? Endelea kuleta mambo sie twayapenda
hapana wamezidi ngoja 2 niongee kila thread yangu wanatia kejeli utafikiri nimewalazimisha kuchangia.
umbeya umewazid na bila shaka watakuwa ni wanawake2 hapana ubishi jibu wanalo wenyewe. hivi sie wanawake 2taacha lini kufuatilia mambo yasizo2husu?umbea umbea 2. 2namatatizo gani??
 
Dena,shosti, na husuniyo kwani mumeombwa muchangieee? Kaeni kimya na muache kiherehere. alaa? Kama nyie munaona hampati faida na thread zangu wako wanaopata faida. Acheni umbeyayaya!


Nimependa sana hii
 
Dena,shosti, na (husuniyo) kwani mumeombwa muchangieee? Kaeni kimya na muache kiherehere. alaa? Kama nyie munaona hampati faida na thread zangu wako wanaopata faida. Acheni umbeyayaya!

ngoja huyo wa kwenye mabano aje.
 
Dena,shosti, na husuniyo kwani mumeombwa muchangieee? Kaeni kimya na muache kiherehere. alaa? Kama nyie munaona hampati faida na thread zangu wako wanaopata faida. Acheni umbeyayaya!

Umemsahau CPU
Nimelipenda lile tusi lako
Unaweza ukaniletea lingine kubwa zaidi??
 

Nasingi foo gudi
 
Dena,shosti, na husuniyo kwani mumeombwa muchangieee? Kaeni kimya na muache kiherehere. alaa? Kama nyie munaona hampati faida na thread zangu wako wanaopata faida. Acheni umbeyayaya!

nimekoma umbeyayaya ila kusutwa siogopi inategemea unakuja na goma gani jipya maana kiduku,matarumbeta,rusha roho,kwaya kaswida zote nshazisikia:lol:
 
Ukiwa free sana badae tena utahisi unahitaji mtu wa kukulimit, kifupi binadamu hatuna la maana, unaweza amua kuwa kapera maisha yote unafikia uzeeni unaanza kujuta, kukosa company home maana hutataka kutoka sana kama ulivyokuwa kijana hapo sasa unaanza kujutia maisha uliyokuwa unaishi ingawa kwa wakati ule uliyaona yanafaa
 
nimekoma umbeyayaya ila kusutwa siogopi inategemea unakuja na goma gani jipya maana kiduku,matarumbeta,rusha roho,kwaya kaswida zote nshazisikia:lol:

hahahahahaha!
Tujiweke pembeni tuepushe msongamano.
 

Ha ha ha ha ha ha uwiiiiiiiiii mbavu zangu mie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…