Faida gani Taifa lilipata kwa kuwakandamiza CHADEMA?

Faida gani Taifa lilipata kwa kuwakandamiza CHADEMA?

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
21,470
Reaction score
40,593
Kuna watu wanaonesha kama vile maridhiano kati ya CHADEMA na CCM yaliyoasisiwa na Freeman Mbowe, na Samia Suluhu Hassan, ni upendeleo kwa CHADEMA na CHADEMA ni lazima washukuru kwa kuonewa huruma na Samia.

Hivi Taifa la Tanzania lilipata faida gani pale CHADEMA ilipokuwa inakandamizwa isifanye kazi zake halali za kisiasa??
 
Kuna watu wanaonesha kama vile maridhiano kati ya CHADEMA na CCM yaliyoasisiwa na Freeman Mbowe, na Samia Suluhu Hassan, ni upendeleo kwa CHADEMA na CHADEMA ni lazima washukuru kwa kuonewa huruma na Samia.

Hivi Taifa la Tanzania lilipata faida gani pale CHADEMA ilipokuwa inakandamizwa isifanye kazi zake halali za kisiasa??
Faida mojawapo ni kuuwa watu ambao hawana hatia na kuanzishwa makundi machafu ya kuteka na kutesa Hadi kuua
 
Hakuna maridhiano ya kweli kati ya mafahari wawili wanaogombea bibi mmoja( kuongoza nchi).

Ni ama tu kuamua basi kama ni kula wacha tule wote. Hapo wataafikiana na mmoja siku akikata mrija badi wataanza kuchafuana na kutoleana siri.

Hakukuwa na haja ya hicho kitu kinachoitwa maridhiano sababu tayari tuna katiba na sheria, kilichotakiwa kama ilionekana upinzani wamenyimwa nafasi ya mikutano basi wangewafungulia tu waendelee.

Hizi nyimbo za upinzani za kusifia uongozi kila mara na kuacha hoja za msingi ndio tunaona kuna zaidi ya hicho cha maridhiano, hapo kuna hisani kwa makubaliano maalum.
 
Siku anastaafu kazi, johnthebaptist aliondoka ofisini kwake na usinga, aliodai alipewa Korogwe kama zawadi na mganga mmoja wa Kienyeji aliyekuwa anafahamika kwa jina la Mandondo!!
Mandondo alikatiza hapo Uhindini Iringa kwa akina Galahenga, Tweve, Kimokimo nk ilikuwa balaa

Mandondo alitisha kama Tanga bwashee🤩
 
Mandondo alikatiza hapo Uhindini Iringa kwa akina Galahenga, Tweve, Kimokimo nk ilikuwa balaa

Mandondo alitisha kama Tanga bwashee🤩
Ha! Ha! Ha! Ha! Ha!

wewe hadi kwa Tekelo ulifika. Hirizi viunoni na chale za kishirikina kila mahali ndiyo mlikuwa mnazitegemea kubaki kazini. Tumetoka mbali sana kama taifa!!
 
Back
Top Bottom