MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,661
- 21,656
Wakuu mko poa?
Jamaa yangu mmoja kafungua hizi ofisi za kuchora watu tattoo na juzi alinikaribisha ofisini kwake kuona mambo yanavyoenda,katika maongezi yetu nilimuomba kidogo anikopeshe hela lkn kitu cha kushangaza aliniambia sasa hivi biashara ni mbaya kuliko navyoweza kufikiri lkn akaniambia kitu pekee anachoweza kunisaidia kwa sasa ni kunichora hizo tattoo bure,hata kama nitahitaji kuchora mwili mzima.
Kama ilivyo ada,JF home of GT, je naweza pata faida gani za kiuchumi nikijichora tattoo mwili mzima, yaani nawezaje kubadilisha tattoo kuwa cash?
Jamaa yangu mmoja kafungua hizi ofisi za kuchora watu tattoo na juzi alinikaribisha ofisini kwake kuona mambo yanavyoenda,katika maongezi yetu nilimuomba kidogo anikopeshe hela lkn kitu cha kushangaza aliniambia sasa hivi biashara ni mbaya kuliko navyoweza kufikiri lkn akaniambia kitu pekee anachoweza kunisaidia kwa sasa ni kunichora hizo tattoo bure,hata kama nitahitaji kuchora mwili mzima.
Kama ilivyo ada,JF home of GT, je naweza pata faida gani za kiuchumi nikijichora tattoo mwili mzima, yaani nawezaje kubadilisha tattoo kuwa cash?