sixty nine69
Member
- Jul 30, 2014
- 66
- 14
Habari.
Siku hizi wa Tanzania tumepiga hatua kubwa sana katika ushirikiano kijamii na moja ya hatua iyo ni kujiunga pamoja ktk vikundi ambavyo vina jihusisha na shughuli za ujasilia mali.
Lakini kuna shida moja mm ambayo nimeiona nayo ni ukosefu wa ujuzi juu ya swala la Faida, Hasala na changamoto za hivi vikundi watu wengi wamekosa elimu hii kiasi cha kupelekea vikundi kutofikia malengo
Wazo langu mm ninaomba kwayoyote ambaye anajihusisha na kikundi chochote kile cha ujasilia mali na ana weza kutufafanulia juu ya Faida, Hasara na changamoto za vikundihiv vya ujasilia mali atujuze apa ilimaradi watu wajue nasio kukurupuka Tu kuji ingiza ktk vikundi hiv
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Siku hizi wa Tanzania tumepiga hatua kubwa sana katika ushirikiano kijamii na moja ya hatua iyo ni kujiunga pamoja ktk vikundi ambavyo vina jihusisha na shughuli za ujasilia mali.
Lakini kuna shida moja mm ambayo nimeiona nayo ni ukosefu wa ujuzi juu ya swala la Faida, Hasala na changamoto za hivi vikundi watu wengi wamekosa elimu hii kiasi cha kupelekea vikundi kutofikia malengo
Wazo langu mm ninaomba kwayoyote ambaye anajihusisha na kikundi chochote kile cha ujasilia mali na ana weza kutufafanulia juu ya Faida, Hasara na changamoto za vikundihiv vya ujasilia mali atujuze apa ilimaradi watu wajue nasio kukurupuka Tu kuji ingiza ktk vikundi hiv
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums