Faida kwenye biashara ya sembe na dona inapatikanaje?

Faida kwenye biashara ya sembe na dona inapatikanaje?

Binafsi Kwa Dar es salaam sina uzoefu, ila kama uko interested na nje mfano Kongo naweza kukupa ABC
 
Nasubiria Nondo
Mashine zipi nzuri za kusaga na kukoboa?
 
Wajuzi wa hii biashara tafadhali tupeni ujuzi hapa pia vipi kupeleka Kenya naona unga kwao uko juu sana
 
Back
Top Bottom