Faida na hasara za mfumo wa cambridge tanzania

Faida na hasara za mfumo wa cambridge tanzania

sir echa

Member
Joined
May 28, 2010
Posts
85
Reaction score
3
Wadau naombeni msaada wa kujua faida na hasara za mfumo wa CAMBRIDGE kwa mwanafunzi anayesomea Tanzania.

Nahitaji kufahamu kwani nina mdogo wangu yupo shule moja, walimu wameshinikiza asome mfumo wa Cambridge, Je future ya mwanafunzi huyu wa kitanzania, anayesomea Tanzania kwa mfumo wa CAMBRIDGE ipo vipi!!?

Msaada tafadhali.
 
ngoja waje,mie nazisikia tu,ipo moja kule kwetu shinyanga ina mpaka kiwanja cha ndege ndani. ngoja wanaojua wataeleza mamo yakoje,ama wazee wa zamani waliosoma kwa mfumo wa Cambridge wasaidie
 
Nimesoma Int Schools. Nilifanya mitihani ya IGCSE O level na GCE A level. Nikafaulu vizuri tu. Nikaenda chuo hapa hapa Tanzania. Hivi sasa najianda na masters. So inawezekana. Aandaeni pesa tu kwa ajili ya mdogo wenu.
 
Je kwa O level shule yake ina offer IGCSE au GCSE? Find out maana ziko tofauti in terms of level of difficulty.
 
Back
Top Bottom