Faida na hasara za mwanafunzi kutumia simu shuleni (mdahalo)

Faida na hasara za mwanafunzi kutumia simu shuleni (mdahalo)

Point less

Senior Member
Joined
Jun 24, 2020
Posts
194
Reaction score
98
Ni kama mdaalo kuhusu faida na hasara za kutumia simu kwa wanafunzi mashuleni na hata nyumbani lugha ni kiswahili na kingereza

KARIBU MTU KANYE

TUJITETEE.
 
Hivi jamii forums mods wapo likizo?? Huu ni uchafu gani tena humu??[emoji34][emoji34]
 
Kwa wenzetu inaweza leta tija kwa wanafunzi ila kwetu cc inaweza kuchochea vitu kama uzinzi na kushuka kwa ufaulu kwani wanafunzi we2 wengi bado hawajitambui na hvyo kujikuta mda mwingi wanaupoteza kwenye v2 visivyo na msingi.
 
Kwa wenzetu inaweza leta tija kwa wanafunzi ila kwetu cc inaweza kuchochea vitu kama uzinzi na kushuka kwa ufaulu kwani wanafunzi we2 wengi bado hawajitambui na hvyo kujikuta mda mwingi wanaupoteza kwenye v2 visivyo na msingi.
Wenzetu akinanani?
 
Back
Top Bottom