Faida ya CRDB Fahari Huduma

Sodium 23

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2013
Posts
483
Reaction score
491
Napenda kufahamu faida inayopatikana kwa Mawakala wa Fahari Huduma CRDB.

Kati ya Uwakala wa Benki na Uwakala wa Simu (M-Pesa na mingine), kipi kina faida zaidi?
 
uwakala wa BENKI huwezi ufananisha na vi sh 300 vya Miamala ya Simu,hivyo basi kama pesa unayo Fatilia uwakala wa BANK utanikumbuka mbele ya safari huko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…