Kumbe ndiyo maana wanahisa hatujapata gawio letuuuu!!!Faida ya Kampuni ya Bia #Tanzania (TBL) katika nusu ya kwanza ya mwaka 2018 imeshuka kwa asilimia 16 hadi TZS bilioni 64.5 kutoka TZS bilioni 77.13 katika kipindi kama hicho mwaka jana. Kushuka huko kumechangiwa na kuzuiwa kwa pombe za viroba, na mazingira magumu ya biashara.
Ndio konyagi kiroba ilikuwepo na ilipendwa sana mkuuTBL walikuwa wakiuza viroba?
Hahaha kabisaaaaSiku hizi watu wanapiga togwa,mbege na wanzuki wanaenda kulala,hawataki shida na mtu kabisa